Bunda tumeangusha Mbuyu

Hivi ana watoto? hepu tupieni picha za uzao wake hapa. Tujiliwaze baada ya makwapuzi ya kura.
 
 
Huyu mzee angekua prezdaa nisinge tundika picha yake ofisini jamani!

Teeeeeh teeeeeeh teeeeeh 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆
 
Nafuu wakazi wa bunda mmeamua kumpumzisha kwa mtutu wa kura,sasa atapata muda mzuri wa kuuchapa usingizi,ata akiamua ashide amelala nisawa,hongeleni sana wana bunda.
 

Mkuu Mmawia pongezi nyingi sana kamanda, tokea wahuni wauondoe mtandao huu hewani nilikosa namna ya kukupa pongeza.

Arusha tulifanyakazi yetu kwa sehemu na sasa tunasubiri kumpitisha Lema na ukizingatia tuna majeraha...........
 
Last edited by a moderator:
Sokwe Mtu down 😂😂😂!!! Akagombee kwenye umoja wa Akina mama au asubiri viti maalumu kama Marehemu Amina Chifupa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…