Bumps Makongo zinaharibu magari

Bumps Makongo zinaharibu magari

Young Warlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
328
Reaction score
112
Habarini,

Nimetembelea Makongo Juu lakini nimegundua huyu mkandarasi JASCO hajali kabisa watumiaji wa iyo barabara maana kaweka temporary bumps ambazo sio rafiki kabisa kwa magari madogo, zinakwangua sana maana zimechongoka.

Pia, kaacha mawe mawe barabarani jioni hii na hata mtaa nlioingilia mimi kuna baadhi ya gari ndogo haziwezi kabisa kupita.

Naomba wahusika wamuongoze vizuri.
 
Back
Top Bottom