Bumbuli ,kinondoni na ludewa

Huu ndio wakati wa Shelukindo kutuliza roho yake!
 
Hata wakishinda rufaa hawawezi kushinda uchaguzi.

CCM hawawezi kushinda kinondoni hata kwa goli la vidole...hata siku moja ..Iddi Azan watu washamshtukia mchezo wake na pia uchaguzi ulopita hakupata 50% na kulikua na wagombea wengi. ths time ni ukawa pekeee hawezi kupita hata jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…