MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Moja ya sifa kuu ya mbwa koko ni kupiga kelele ukipita kwao.Arusha ni ya kila mmoja acheni mikwara ya kitoto.
Komredi Mingoi , naona kuna tabia ya kujipa hatimiliki inaendelea. Wamesahau kuwa Umoja, Upendo na Mshikamano ni tunu tuliyorithishwa na wazee wetu na hatuwezi kuiacha kamwe wala hatutakubali hawa vibaraka wa Mtei waichezee!
Last edited by a moderator: