Shondola
Member
- Apr 2, 2014
- 95
- 58
Watajwa kwa sasa wapo Mkoani Arusha wakihudhuria Mkutano wa PPF unaoendelea Arusha.
Hata hivyo badala ya kuendelea na kilichowaleta wahusika wametuma baadhi ya watu ili kuwasaidia kuwaitua wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ili kuendelea kuimarisha kambi yao.
Hata hivyo baadhi ya wajumbe wamesikika wakisema ni kweli kuna baadhi ya wajumbe kama 10 wamepigiwa simu ili kukutana na wahusika. Wengi wao wamesema huyu binti kama harusi yake haikumfunza adabu asubiri aone watu wa Arusha wanavyomwangushia kitu chenye ncha kali.
"Hawa hivi kweli wanaufahamu huu Mkoa ama na kwa taarifa Vijana wameshatumwa kuchunguza walikofikia hawa jamaa ili wajue huu Mkoa ni wa vichaa tu. Tumeshapata habari wanakotaka kukutana na wajumbe na kila kitu kiko tayari kama wamekuja kwa ajili ya PPF waendelee na kilichowaleta na si kutuvurugia Mkoa wapuuzi kabisa hawa. Watapigwa mawe mpaka wakome na kama haitoshi huu ni ujumbe kwako Vicky Arusha si salama kwa mtu kama wewe take note...."
Ndivyo walivyosikika baadhi wa watu nilipopita maeneo ya Kilombero....... Kwa mujibu ws taarifa zao Vicky na Bulembo wanataka kumtengenezea Pinda mazingira ila kwa Arusha wanajisumbua hela zitaliwa kama kawa na wasipoangalia wanaweza fanyiwa uhuni balaa........ Niko maeneo ya zengwe na kwa kuwa inaonesha kweli hawa jamaa wamejiandaa ntakuwa nawapa yatakayojiri kutoka hapa Mkoani........
Siasa hizi bana
Hata hivyo badala ya kuendelea na kilichowaleta wahusika wametuma baadhi ya watu ili kuwasaidia kuwaitua wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ili kuendelea kuimarisha kambi yao.
Hata hivyo baadhi ya wajumbe wamesikika wakisema ni kweli kuna baadhi ya wajumbe kama 10 wamepigiwa simu ili kukutana na wahusika. Wengi wao wamesema huyu binti kama harusi yake haikumfunza adabu asubiri aone watu wa Arusha wanavyomwangushia kitu chenye ncha kali.
"Hawa hivi kweli wanaufahamu huu Mkoa ama na kwa taarifa Vijana wameshatumwa kuchunguza walikofikia hawa jamaa ili wajue huu Mkoa ni wa vichaa tu. Tumeshapata habari wanakotaka kukutana na wajumbe na kila kitu kiko tayari kama wamekuja kwa ajili ya PPF waendelee na kilichowaleta na si kutuvurugia Mkoa wapuuzi kabisa hawa. Watapigwa mawe mpaka wakome na kama haitoshi huu ni ujumbe kwako Vicky Arusha si salama kwa mtu kama wewe take note...."
Ndivyo walivyosikika baadhi wa watu nilipopita maeneo ya Kilombero....... Kwa mujibu ws taarifa zao Vicky na Bulembo wanataka kumtengenezea Pinda mazingira ila kwa Arusha wanajisumbua hela zitaliwa kama kawa na wasipoangalia wanaweza fanyiwa uhuni balaa........ Niko maeneo ya zengwe na kwa kuwa inaonesha kweli hawa jamaa wamejiandaa ntakuwa nawapa yatakayojiri kutoka hapa Mkoani........
Siasa hizi bana