Bulembo achemka Biharamlo jioni ya leo

Bulembo achemka Biharamlo jioni ya leo

Mapolomoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
1,751
Reaction score
422
Akihutubia katika uwanja wa soko jipya umati wa watu wasio zidi 500 pamoja na kusomba watu kutoka kata zingine kwa gari la Adamu Mshomari, alianza kutunanga wakazi wa Biharamlo kwa kuichagua CHADEMA nakusema mbunge wetu kaacha bunge na kwenda Arusha ---->
 
Alhaji Bulembo lazima aiseme Moshi. Le Mutuz naye alisemaje?
 
Bulembo aliyewahi kuwa diwani kisha akawatotoka wapiga kura wake wa kata ya nyasho musoma tena kwa kashfa ya rushwa
 
Huyu Bulembo CCM walimuokota wapi ni mtu mwenye akili duni sana anafikiri ngono muda wote.
 
Nheeee!
Kumbe Biharmulo bado CCM ina wafuasi wote hao??!
Mmemuuliz alichokutana nacho BUKOBA mjini??!
Aliitisha mkutano Kashai akaishia kuitukana CHADEMA na CUF mbele ya watu kama kikao cha familia..
Vijana walisogea na kumtwanga maswali, akafura hadi mkutano ukafungwa bila kucheza mziki kama walivyozoea!
Wakati mwingine, CCM ni kama ugonjwa wa kuhara!
Unasumbuka kwa muda tu!
 
Hii kazi kwa kweli walimnyima tu Nimrod Mkono. Huyu bwana ni tatizo na hajui kama yeye ni tatizo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom