mzee, tatizo skuhizi kuna vi maneno vingi sana (hasa Bongo hii) visivyo na kichwa wala miguu...sasa nakushauri ingekuwa vyema sana kama ungemuuliza vizuri kwanza huyo ULIYESIKIA kwake hizi habari ikiwezekana hata kuiona then angalau tungejua wapi kwa kuanza...mi mwenyewe ndo naskia kwako....!!!