KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,150
Nilikua naangalia Ayo tv on u tube ambao walikwenda Comoro kuripoti game Yanga na Ngaya...nimeshangazwa kidogo kusikia hela ya Comoro nchi inayo import almost everything toka nje hela yao iko juu kuliko shilingi yetu,
Elfu Tano ya Comoro-zambia-champions ni sawa na Tshs. 20,000.
Wachumi hebu tiririkeni,hii inawezekana vipi kwa wacomoro wasiozalisha na kuexport chochote zaidi ya ku-import tu
Elfu Tano ya Comoro-zambia-champions ni sawa na Tshs. 20,000.
Wachumi hebu tiririkeni,hii inawezekana vipi kwa wacomoro wasiozalisha na kuexport chochote zaidi ya ku-import tu