Naomba nijaribu kurejelea mambo flani machache na ksho ntarudi hapa kutoa maelezo ya sehemu ya2 ya habari hii na mwisho ntatakiwa kutoa msimamo wangu kulingana na nilyoyaona
Kuna ishu ya uwekezaji katka utalii ikiwa ni pamoja na hotel na vivutio vngne kama walvyoongelea baadhi ya wadau humu ndani,nachokiona ni kmoja kwamba kama unaplan ya kuwekeza nakushauri nenda,kwann?kimsingi biashara haijachanganya sana lakini kuna dalili za kuchanganya mda si mrefu,uwepo wa vyombo vya habari na kujengwa kwa stand mpya ya mabasi kutachochea biashara ukizingatia ni nchi4 zitakutana pale na tofauti na ilvyokuwa mwanzo stand ndogo ikawa haina na uwezo wa kuingiza magari mengi na bado haikuwa ya kisasa
Kwahyo wekeni vitu na vyuo naona vimeanza naamini kwa baadae vijana watatapakaa na pesa itaweza kuzunguka vya kutosha na kufanya biashara kuwa ya uhakika sana,ndugu zangu tukutane kesho kwenye sehemu ya 2 na ya mwisho ya taharifa hii
Alamsiki,Mungu awabariki nyote!