Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,446
Nshomile (mpaka kwa kuku na njiwa) yaani hawa jamaa wananipaga raha sana okay tupo pamoja...NSHOMILEEE
Nshomile katika ubora wenu.
Kwa kupenda masifa tu hajambo, unaijua trillioni 3 lakini??
Alafu mchangishaji Nani? Au prof wa hela ya mboga?? Mpeni huyo awe mtunza michango.Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo nyumbani.
Kilimo cha ndizi kimewashinda.....wanachojua ni kujenga guest zenye mitalo ndani ndio maana hata mkuu huwa anawadharau sana......Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo nyumbani.
SafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiBukoba safiiiii
Wana-bukoba tumezipoa taarifa hizi kwa mikono miwili, tuaandaa tafrija ya kumpongeza Dar, Mwanza na Bukoba.Asante Saida Karoli kwa kushinda MALKIA WA NGUVU
Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo home.