International airport yajaWahaya kwa kupenda sifa hamna mpinzani.
Eti kuipiku Dubai kimiundombinu kabla ya 2017.
Ipikuni Dar kwanza halafu ndo mje na ndoto zenu za kuipiku Dubai.
Ikishajengwa international airport ndiyo mtaipiku Dubai?International airport yaja
Ni mgonjwa wa Milembe Hosp.Hivi ni nani alifungua huu uzi?
we kijiji kwnu wapi?Jengeni kama Machame kwanza ndiyo muanze kuwaza ya Dubai. Mimi sio wa Machame lakini i really appreciate maendeleo ya akina Mangi kule.
utaka hela zao wakugaie auWahaya katika ubora wetu, ila najua wahaya wengi wenye hela ni wabinafsi sana.
kwanza uzu huu ni mzuli unaonyesha watz wanavio pendana kutaniana nimependadah huyu jamaa kaamua kutengeneza thread hivi ili tuanze kupondwa, poa tu lakini one day yes.
wabongo hawa wezi kuchangia bila matusi pia awawezi kutaja makabila yaoMleta mada hajatukana.lkn wachangiaji ni mitusi tu. Unaweza kutoa mawazo bila kutukana.
kwani tanzania umeitembea yote?Mimi sio wa huko lakini zile nyumba huko migombani hazina mfano Tanzania.
watani wako lazima wajipe moyo ipo sikuWatani zangu wahaya muwe mnakua serious hata kidogo basi DUBAI ipi mnaizungumzia hapo?
tutajie nawe kabila lako tulijueSijawahi kukutana na watu kama hawa kote nilikowahi kuishi. Wengi wa wahaya ni exceptional beings, majivuno yao huwezi kuamini. Bahati nzuri ninatembea sana huko kwao.
ukiona kabila lina semwa sana tambua hilo ni maarufuMnaotukana wahaya msitutoe ngeo bure,mleta uzi ni kapuku mwenzenu wala sio nshomile
kapotea njia alitaka kupost huu uzi kwenye uzi wa makapuku akashtukia yuko huku.
Wahaya wameishakuwa watani wa makabila yote tanzania
kila anayetaka kuota anaota wahaya.
Uzi huu ningeuona wa maana kama
mleta uzi angeweka chanzo cha habari
akiambatanisha ni picha za waliokaa
kikao hicho.