Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
my sweet stomach Bujibuji, ulituambia unaandaa Jamii Get Tohether maeneo ya Ununio Beach. Wazo lako lilikluwa zuri sana kwani ilikuwa ni fursa pekee ya wapendwa wa JF kukutana, kutaniana, kufahamiana na kunadilishana hoja mbalimbali ana kwa ana.
Jamani je hii event ilifanikiwa? Kama haikufanikiwa naona tufanye mchakato kwa wanaopenda kuonana na ku enjoy tuarrange shughuli.
Nashaz nawakilisha
Jamani je hii event ilifanikiwa? Kama haikufanikiwa naona tufanye mchakato kwa wanaopenda kuonana na ku enjoy tuarrange shughuli.
Nashaz nawakilisha