Bugando kupata Mashine ya MRI!

Bugando kupata Mashine ya MRI!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Katibu Mkuu Kiongozi Bw.Ombeni Sefue amesema Serikali imeagiaza mashine ya mpya MRI kwa ajili ya hospitali ya Bugando, Mwanza na pia CT SCAN nyingine mpya kwa ajili ya Hospitali ya Muhimbili!
 
Yaani hospitali pekee ya serikali ilivyokuwa na MRI ni Muhimbili tu? Mbona mashangingi yametapakaa Mikoa na Wilaya zote? Au wameinunua baada ya safari za nje kupigwa marufuku?

Kweli kupanga ni kuchagua.

Vv
 
Ile tathmini ya siku 100 za kwanza za rais wakosoaji watapungukiwa maneno ya kukosoa
 
Inang'ara CCM! Inang'ara CCM! Kimenuka kwa UKIWA/CHADOMO...huku watu wanajipanga kujenga NCHI wao wanajipanga kuleta VURUGU.....mwaka huu sijui wamekula MAJANI YA WAPI!!!
 
Inang'ara CCM! Inang'ara CCM! Kimenuka kwa UKIWA/CHADOMO...huku watu wanajipanga kujenga NCHI wao wanajipanga kuleta VURUGU.....mwaka huu sijui wamekula MAJANI YA WAPI!!!

Hapo Chadema ni raha tupu sababu hayo anayofanya ndo yamo kwenye ilani ya Ukawa na tumeyapigania sana kwenye katiba ya Warioba na kwenye Binge la kumi.

Hapo ndugu yangu CCM mnajishauwa tu lakini ukweli namba mnaisoma wenyewe maana Magufuli anaimba kama CCM na kucheza kama UKAWA/CHADEMA.Mambo ya dill hamna tena.CCM hata nyumba ndogo inabidi wapunguze. Kama demu ulikuwa hujahongwa Gari ndo basis tena.

Lengo la Ukawa ni kuona wananchi wananufaika na lasilimali zao.Akipatikana MTU wa kutekeleza malengo ya Ukawa kuna shida gani?

Tunataka na wale wa escrow has a waliochukulia pesa stanbic bank waisome namba.
 
Katibu Mkuu Kiongozi Bw.Ombeni Sefue amesema Serikali imeagiaza mashine ya mpya MRI kwa ajili ya hospitali ya Bugando, Mwanza na pia CT SCAN nyingine mpya kwa ajili ya Hospitali ya Muhimbili!

safi sana ila wale madaktari wa kamanga medics wataiharibu tu wanaroho mbaya kweli, ikiwasili walete madaktari wapya na mafundi wapya,
 
Ombeni JK alimtoa wapi yaani jamaa mbili tu ukawa wamepoteana, siku ya kukabidhi uje tukuchezee na ngoma ya kisukuma ya bujora.

Wale jamaa acha wazunguke na mawazo wao ila wasituletee kipindupindu manake hawakawii kushusha mzigo.
 
Vipi kuhusu kcmc....?? Ama ndio kwasababu ni kuleee... ????
 
JPM anatuma meseji flani kwa kaka ake aliemuachia ziwa(nyonyo) alafu nahisi hata ILANI anatumia ya jirani.
 
Hapo Chadema ni raha tupu sababu hayo anayofanya ndo yamo kwenye ilani ya Ukawa na tumeyapigania sana kwenye katiba ya Warioba na kwenye Binge la kumi.

Hapo ndugu yangu CCM mnajishauwa tu lakini ukweli namba mnaisoma wenyewe maana Magufuli anaimba kama CCM na kucheza kama UKAWA/CHADEMA.Mambo ya dill hamna tena.CCM hata nyumba ndogo inabidi wapunguze. Kama demu ulikuwa hujahongwa Gari ndo basis tena.

Lengo la Ukawa ni kuona wananchi wananufaika na lasilimali zao.Akipatikana MTU wa kutekeleza malengo ya Ukawa kuna shida gani?

Tunataka na wale wa escrow has a waliochukulia pesa stanbic bank waisome namba.

Mtajieba na Kujitekenya sana katika kipindi cha miaka 5 hii.... ILANI ya CCM iko very comprehessive ...magenge na makundi ya vyama kama UKIWA wamekuwa wana copy na ku paste vitu wasivyo vielewa! Sasa hivi CHADOMO ndio kabisa wako ICU ki DIRA na Kisiasa...... hii iko wazi CCM ndio Chama BORA...sasa hivi ACT nao wanasema 60% ya ilani yao ipo ndani ya CCM......CHADOMO ndio kabisa hata viongozi wao!!!
 
Mtajieba na Kujitekenya sana katika kipindi cha miaka 5 hii.... ILANI ya CCM iko very comprehessive ...magenge na makundi ya vyama kama UKIWA wamekuwa wana copy na ku paste vitu wasivyo vielewa! Sasa hivi CHADOMO ndio kabisa wako ICU ki DIRA na Kisiasa...... hii iko wazi CCM ndio Chama BORA...sasa hivi ACT nao wanasema 60% ya ilani yao ipo ndani ya CCM......CHADOMO ndio kabisa hata viongozi wao!!!

Naona ndugu yangu we we uko nje kidogo ya mfumo wa ccm.Walio ndani 100% wanalia na kusaga meno, wanashangaa imekuwaje mwenzao kawa geuka.Madill,kujuana, urafiki, hawala nk. Uchafu - Magu kaweka pembeni hiyo Sera mama.Waulize walio jikoni hapo Lumumba wana msiba mioyoni.

Lakini unashangaza unapotaka kulinganisha ccm walioko madarakani na Ukawa ambao hawako madarakani.Nakuomba usubiri uone watakavyo kuwa wanaisimamia serikali yenu bunge litakapo anza vikao.
 
KCMC inahudumia watu wa kaskazini walimpatia kura kiduchu.halfu usisahau Bugando ni Catholic na KCMC ni Lutheran anakotoka Lowassa mbona wataisoma namba waprotestant haaa haaa.


Vipi kuhusu kcmc....?? Ama ndio kwasababu ni kuleee... ????
 
KCMC inahudumia watu wa kaskazini walimpatia kura kiduchu.halfu usisahau Bugando ni Catholic na KCMC ni Lutheran anakotoka Lowassa mbona wataisoma namba waprotestant haaa haaa.
???????????????????????????????????????????????
 
Hapo Chadema ni raha tupu sababu hayo anayofanya ndo yamo kwenye ilani ya Ukawa na tumeyapigania sana kwenye katiba ya Warioba na kwenye Binge la kumi.

Hapo ndugu yangu CCM mnajishauwa tu lakini ukweli namba mnaisoma wenyewe maana Magufuli anaimba kama CCM na kucheza kama UKAWA/CHADEMA.Mambo ya dill hamna tena.CCM hata nyumba ndogo inabidi wapunguze. Kama demu ulikuwa hujahongwa Gari ndo basis tena.

Lengo la Ukawa ni kuona wananchi wananufaika na lasilimali zao.Akipatikana MTU wa kutekeleza malengo ya Ukawa kuna shida gani?

Tunataka na wale wa escrow has a waliochukulia pesa stanbic bank waisome namba.

Acha uongo wewe ilani ya UKAWA unaijua?? Au ulikua unasikiliza tu porojo za Lowasa ambazao hazikuwepo kwenye ilani. Nitajie kipaumbele cha kwanza hadi cha 3 vilivyomo kwenye ilani alafu ulinganishe na vipaumbele alivyokuwa anavinadi Lowasa kama vinafanana.

Ukawa hawakuwa na ilani walikua na porojo tu zinazotaja vitu kwa ujumla jumla. Ilani inapaswa kusema vitu specific kwa kila sekta na eneo kwa ilani ya ukawa haikuwa na vitu hivyo
 
Katibu Mkuu Kiongozi Bw.Ombeni Sefue amesema Serikali imeagiaza mashine ya mpya MRI kwa ajili ya hospitali ya Bugando, Mwanza na pia CT SCAN nyingine mpya kwa ajili ya Hospitali ya Muhimbili!

Sorry hivi bugando ni hospital ya serikali ?
 
Back
Top Bottom