Bucha La kitimoto

Bucha La kitimoto

Joined
May 16, 2008
Posts
74
Reaction score
7
Habari ya jumapili wadau,

Naomba kujuzwa wanapochinja/uza nyama ya nguruwe/kitimoto Hapa Dar es salaam hasa wilaya ya Kinondoni.

Najua supermarket zinapatikana Ila bei zao ziko juu Na inakua imekaa muda mrefu.
 
Kama uko Maeneo ya Kinondoni studio tafuta Bar moja inaitwa kwa mama pita kama, ni jirani na Ananasif shuleni.

Kama uko mkwajuni nenda pale maeneo ya CCM utapata.
 
Kama uko Maeneo ya Kinondoni studio tafuta Bar moja inaitwa kwa mama pita kama, ni jirani na Ananasif shuleni.

Kama uko mkwajuni nenda pale maeneo ya CCM utapata.

Huko Ni kwenye mabucha Au Ni zile zimeshaandaliwa?
 
Umeshanitamanisha, ngoja niende kwa Frank pale twitter
 
  • Thanks
Reactions: dtj
hii kitu siielewagi kabisa, nenda kigogo sambusa ukinunua kilo mbili unapewa pua au kende nyongeza, hapo kuna bucha kama ishirini hivi.
 
Nenda mbezi lous kituo cha kwanza kutoka mbezi mwisho kinaitwa kibanda cha mkaa karibu na kanisa la kkkt uliza hapo utakwakuta wanachinja na kuuza aka butcher
 
Nenda mbezi lous kituo cha kwanza kutoka mbezi mwisho kinaitwa kibanda cha mkaa karibu na kanisa la kkkt uliza hapo utakwakuta wanachinja na kuuza aka butcher
Umeniwai nlikua
Nenda mbezi lous kituo cha kwanza kutoka mbezi mwisho kinaitwa kibanda cha mkaa karibu na kanisa la kkkt uliza hapo utakwakuta wanachinja na kuuza aka butcher
Umeniwai nlikua nataka kumuelekeza hapo hapo .
 
Dah udenda unatok mkuu hapa kusem kitimoto [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Umesha nipa hamu ya kula Mbuzi katoliki acha niende zangu kwa Mushi Chamber of fresh Pork Majengo Moshi, nikapige hii kitu na pilipili kwa wingiiiii...
 
Habari ya jumapili wadau,

Naomba kujuzwa wanapochinja/uza nyama ya nguruwe/kitimoto Hapa Dar es salaam hasa wilaya ya Kinondoni.

Najua supermarket zinapatikana Ila bei zao ziko juu Na inakua imekaa muda mrefu.
huu sasa uchokozi,ni kweli unaulizia 'chair fire humu"?
 
Kama upo sinza nenda pale kwa Remmy uliza mamantilie walipo muone mama mmoja anaitwa mama semeni ugali na kitimoto tsh 2500 tu utakula uinjoi
 
Back
Top Bottom