Mr. Politician
Member
- May 16, 2008
- 74
- 7
Habari ya jumapili wadau,
Naomba kujuzwa wanapochinja/uza nyama ya nguruwe/kitimoto Hapa Dar es salaam hasa wilaya ya Kinondoni.
Najua supermarket zinapatikana Ila bei zao ziko juu Na inakua imekaa muda mrefu.
Naomba kujuzwa wanapochinja/uza nyama ya nguruwe/kitimoto Hapa Dar es salaam hasa wilaya ya Kinondoni.
Najua supermarket zinapatikana Ila bei zao ziko juu Na inakua imekaa muda mrefu.