BSc with Education - UDSM 2022

BSc with Education - UDSM 2022

Vinci Dayot Upamecano

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2020
Posts
526
Reaction score
1,293
Amani iwe nanyi,

Alieanzisha uzi fulani akasema Udsm saiv kimekuwa kama cha kata bado namtafuta kwa udi na uvumba. Tuachane na hayo mkubwa atabaki kuwa mkubwa tu.

Lengo ni kujua abc za kozi husika kwenye chuo tajwa hapo juu hususani kwa mtu aliyetokea diploma bila msuli wa Advance Level kwenye masomo ya sayansi je ataweza au nimshawishi tu abadili course aende hata HR. Na kama akikubali kubadili kozi vipi chuoni hakuna ugumu wa mchakato wa kubadilisha kozi?

Lakin pia nahitaji kujua changamoto za chuo hiko uzuri na ubaya wa course hiyo na Maisha kwa ufupi tu.

Wajuvi wa mambo karibuni tutete.
 
Kwa udsm ni ngumu sana kuhama kozi za education kuhamia hizo zingine hasa kama hiyo ya hr uliyoisema.

Education in science ni kozi nzuri tu, ajira zake zipo za kumwaga tu,sema ajiandae kwa misuli mirefu sababu masomo mengi yako CONAS huko na huko conas ni pagumu as wana kitu inaitwa departmental GPA.wengi huwa wanafeli
 
Kwa udsm ni ngumu sana kuhama kozi za education kuhamia hizo zingine hasa kama hiyo ya hr uliyoisema.

Education in science ni kozi nzuri tu, ajira zake zipo za kumwaga tu,sema ajiandae kwa misuli mirefu sababu masomo mengi yako CONAS huko na huko conas ni pagumu as wana kitu inaitwa departmental GPA.wengi huwa wanafeli
Education iko Duce na sio Conas
 
Kwa udsm ni ngumu sana kuhama kozi za education kuhamia hizo zingine hasa kama hiyo ya hr uliyoisema.

Education in science ni kozi nzuri tu, ajira zake zipo za kumwaga tu,sema ajiandae kwa misuli mirefu sababu masomo mengi yako CONAS huko na huko conas ni pagumu as wana kitu inaitwa departmental GPA.wengi huwa wanafeli
Sawa sawa chief kyagata umeeleweka
 
Habari, mimi n mwanafunzi wa diploma ya biotechnology pale DIT nataman nikimaliza nisome bachelor of science with education je itawezekana?
 
Back
Top Bottom