BSc in Data management vs BSc ICT

BSc in Data management vs BSc ICT

zigi 01

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
323
Reaction score
198
Naombeni ushauri wenu wadau mm nimemaliza kidato cha Sita mwaka jana ila sikwenda chuo kutokana na sababu mbalimbali hivyo mwaka huu ndio nahitaji niende chuo!
Naombeni ushauri ni kozi ipi itanifaa zaidi Kati ya hizo mbili maana nipo dailema tu ni ipi itanisaidia zaidi kwa manufaa ya baadae na dunia yetu kwa sasa.
 
Naombeni ushauri wenu wadau mm nimemaliza kidato cha Sita mwaka jana ila sikwenda chuo kutokana na sababu mbalimbali hivyo mwaka huu ndio nahitaji niende chuo!
Naombeni ushauri ni kozi ipi itanifaa zaidi Kati ya hizo mbili maana nipo dailema tu ni ipi itanisaidia zaidi kwa manufaa ya baadae na dunia yetu kwa sasa.
vyuo gani?
 
I would data management but its data science that ndio nzuri according to Dar's OUT (Open Uni) wanayo but their courses prepares you to manage data and nothing more yaan wame fanya vya data science basics na kuacha the neno science and its properties. Last year alone America had openings for high demanded data scientists on over 400k abd 1M managers.

Keeping things short courses zote nzuri and very needed but one was voted the SEXIEST JOB OF THE 21 CENTURY.
 
Naombeni ushauri wenu wadau mm nimemaliza kidato cha Sita mwaka jana ila sikwenda chuo kutokana na sababu mbalimbali hivyo mwaka huu ndio nahitaji niende chuo!
Naombeni ushauri ni kozi ipi itanifaa zaidi Kati ya hizo mbili maana nipo dailema tu ni ipi itanisaidia zaidi kwa manufaa ya baadae na dunia yetu kwa sasa.
chief vp ulifanikiwa kufanya maamuzi kuhusu course ipi uchukue ??
 
Back
Top Bottom