Aje kuendeleza uvumbuzi wa maganda ya korosho c o?Usijiloge ukasome Biotechnology and laboratory science, hao hawajulikani wanafanya kazi gani, mahospitalini walikataliwa, labda maadara za mifugo, na hazipo tz.
Kasome chemistry!!
ulisoma kombi Gani advance?IPI kati ya kozi hizo hapo juu inahitajika zaidi viwandani katika soko La sasa pia yenye wigo mpana kwenye other field katika ajira na kujiajiri
Naomba kuwasilisha
chemistry unaitumia wapi tanzania? Unajua nini ambacho kiwanda fulani kinakuhitaji kwa expertise yako in chemistry unapomalizaUsijiloge ukasome Biotechnology and laboratory science, hao hawajulikani wanafanya kazi gani, mahospitalini walikataliwa, labda maadara za mifugo, na hazipo tz.
Kasome chemistry!!
Chemistry anafanya kazi TFDA, TBS, Mkemia mkuu, Viwanda vya sabuni na kemikali, madawa, viwanda vya vyakula piachemistry unaitumia wapi tanzania? Unajua nini ambacho kiwanda fulani kinakuhitaji kwa expertise yako in chemistry unapomaliza
nasema hivyo kwa sababu chemistry is wide, kama wangelikuwa wanasoma say Industrial chemistry, then ...kuna kitu ukitoka kuwa wewe una utaalamu wa indistrial chemistry.. zamani mimi nilisoma industrial organic chemistry, it was pointing on the applicability of chemistry in various industries..... dying katika viwanda vy nguo, sabuni --chemistry of soap, surfactants , I remember, etc, ilikuwa kozi nzuri na wengi walienda TFDA, viwanda vya sabuni tanga etc. Anyway, ni kozi nzuri kwa kufunsha labdaChemistry anafanya kazi TFDA, TBS, Mkemia mkuu, Viwanda vya sabuni na kemikali, madawa, viwanda vya vyakula pia
cbgulisoma kombi Gani advance?
Mkuu naomba nikuulize swali nasikia vwndn wanahitaji labolatory scientists kuliko chemist coz lab wapo very practically compare to chemist who ar mostly theoretical ,na vilevile wanasema lab scintst ana uwezo wa kufanya kazi bila chemist wakat chemists hawez kufanya kazi bila m2 wa lab imekaaje hii?Usijiloge ukasome Biotechnology and laboratory science, hao hawajulikani wanafanya kazi gani, mahospitalini walikataliwa, labda maadara za mifugo, na hazipo tz.
Kasome chemistry!!
That is not true. Coz scientist hawezi Fanya kazi zote hadi za chemist mfano kuwa QC au QA lada inategemea na eneo la kazi au maabara.Mkuu naomba nikuulize swali nasikia vwndn wanahitaji labolatory scientists kuliko chemist coz lab wapo very practically compare to chemist who ar mostly theoretical ,na vilevile wanasema lab scintst ana uwezo wa kufanya kazi bila chemist wakat chemists hawez kufanya kazi bila m2 wa lab imekaaje hii?
Sijui km kuna bachelor ya laboratory science pekee, kama ipo basi hutolewa na chuo kimoja.Mkuu naomba nikuulize swali nasikia vwndn wanahitaji labolatory scientists kuliko chemist coz lab wapo very practically compare to chemist who ar mostly theoretical ,na vilevile wanasema lab scintst ana uwezo wa kufanya kazi bila chemist wakat chemists hawez kufanya kazi bila m2 wa lab imekaaje hii?
kwa hio mkuu mtu biotech hawez kufanya kazi kama lab technician?Sijui km kuna bachelor ya laboratory science pekee, kama ipo basi hutolewa na chuo kimoja.
Mimi nimesoma Bsc Food Science, tunakutana na Chemist katika kazi zetu.
Ila hata mimi, nilitamani kusoma Bsc in Chemist kuliko food science.
Kasome Chemistry
Hiyo kozi ni mpya, ipo sua.kwa hio mkuu mtu biotech hawez kufanya kazi kama lab technician?
Kwa sababu nae amesomea sayansi maabara
Asante sana broHiyo kozi ni mpya, ipo sua.
Wengi hawaijui na inawapa shida sana.
Washkaji zangu wamesoma, naona wanayopitia
njoo Pm