Bsc. Crop production and managent(SUA)

Bsc. Crop production and managent(SUA)

Nangose 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,202
Reaction score
6,781
Habari za wakati huu wadau wa elimu..?

Naomba kuuliza kuhusu hii course cha "CROP PRODUCTION AND MANAGEMENT" kutoka pale SUA maana nasikia ni course mpya.. So kama kuna aliyeanza kusoma hii kozi toka mwaka Jana aje anipe dondoo kwa ujumla kuhusu hii kozi pale kwa Sokoine.
 
Habari za wakati huu wadau wa elimu..?
Naomba kuuliza kuhusu hii course cha "CROP PRODUCTION AND MANAGEMENT" kutoka pale SUA maana nasikia ni course mpya.. So kama kuna aliyeanza kusoma hii kozi toka mwaka Jana aje anipe dondoo kwa ujumla kuhusu hii kozi pale kwa Sokoine.
Achana na course si zisizo na kichwa Wala miguu utapata tabu kitaa
 
Habari za wakati huu wadau wa elimu..?
Naomba kuuliza kuhusu hii course cha "CROP PRODUCTION AND MANAGEMENT" kutoka pale SUA maana nasikia ni course mpya.. So kama kuna aliyeanza kusoma hii kozi toka mwaka Jana aje anipe dondoo kwa ujumla kuhusu hii kozi pale kwa Sokoine.
Sua kuna horticulture inayo deal na mboga mboga. Ila hii naona kama ina deal na mazao yote tofauti na ilivyo hortuculture.

Nenda ukiwa unajua unachofanya, usije rudi kabla ya dakika 90 hazijaisha.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Sua kuna horticulture inayo deal na mboga mboga. Ila hii naona kama ina deal na mazao yote tofauti na ilivyo hortuculture.

Nenda ukiwa unajua unachofanya, usije rudi kabla ya dakika 90 hazijaisha.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa, nafasi ikipatikana inabidi kupambana kufa na kupoma
 
iyo ipo goo
Habari za wakati huu wadau wa elimu..?

Naomba kuuliza kuhusu hii course cha "CROP PRODUCTION AND MANAGEMENT" kutoka pale SUA maana nasikia ni course mpya.. So kama kuna aliyeanza kusoma hii kozi toka mwaka Jana aje anipe dondoo kwa ujumla kuhusu hii kozi pale kwa Sokoine.
[/QUOT
iyo good sanaa ...inakua inadeal zaid na kilimo(mazao ya chakulabiashara nk) 2...so inakuja kutofautishwa na Agri-general ambayo wanasoma kilimo na mifugo kwa uchache sanaa pia tofaut na hotcurture ambayo inadeal na mboga na matunda..kwangu mimi naoma ni nzuri.
 
Habari za wakati huu wadau wa elimu..?

Naomba kuuliza kuhusu hii course cha "CROP PRODUCTION AND MANAGEMENT" kutoka pale SUA maana nasikia ni course mpya.. So kama kuna aliyeanza kusoma hii kozi toka mwaka Jana aje anipe dondoo kwa ujumla kuhusu hii kozi pale kwa Sokoine.
cheki website yao af angalia maelezo ya koz husik
 
Back
Top Bottom