BSc.Building Survey VS BSc. Computer engeering/TELE

Ze showstopper

JF-Expert Member
Jan 16, 2013
240
350
natumaini wote ni wazima humu nilikua nahitaji ushauri wenu juu ya hili......mimi ni mwanachuo pale ARDHI university first year nachukua BSc.Building Survey nilifaulu vizuri 2 masomo yangu ya A-level ktk mchepuo wa PCM tatizo langu ni kwamba sina uhakika sana na hyo faculty yangu niliyopo yan naona kama haina soko kwa nchi ya hali duni kama Tanzania hii course ilikua chaguo langu la 3 baada ya Computer engrng na Tele(UDSM) kwa matokeo yangu nilijiamini ntapata 1 kati ya hzo bt TCU ndo wakani2pa hapo nilishindwa kuhama chuo kutokana na hofu ya kuingia kama private yan no loan...... nilikua naomba ushauri wenu vijana wenzangu niendelee na hii course ina manufaa ama niapply tena upya mwaka huu kwa hzo course nnazozitaka pale UDSM au hata UDOM
 
Kama wamekupeleka ktk chaguo la tatu na kukuacha ktk machaguo yako yani la 1 &2,tambua kuwa CUTOFF POINT zako haziruhusu kusoma TELE au COMPTR ENG.
 
Hiyo degree kwa bongo sio famous sana but kitendo cha wewe kuiweka chaguo la tatu that means unaipenda au unaijua kidogo.nimejaribu kupitia mishahara ya hawa watu mfano UK a graduate building surveyor can expect to earn around £18,000-£26,000, although in London this may be higher. Ambayo ni kama mil 45 hadi 60 kwa mwaka kwa kuanzia,japokuwa ni UK but u can imagine how it goes. Binafsi sio sababu ya wewe KUPOTEZA MWAKA bure kisa comp eng au Tele as if ukitoka hapo utakuwa tajiri. Focus on what u are doing,luv it and do it with all ur efforts.
 
Piga hyo hyo,sasa comp engineering bongo utafanya kazi gan kama hata kiwanda cha kutengeneza hzo computer hatuna!usisome kitu kwa kufuata mkumbo au kufuata jina la program husika,utakuja juta baadae.
 
aah..wapi bwana! professional bongo hii! watu wengi hapa bongo wanafanya kazi ambazo haziendani na professional zao...unashangaa engineer kaajiriwa jeshi la polisi, kazi yake kukamata waharifu. wewe komaa tu na hiyo kozi na ukifika wakati wa kuchukua masters utajipanga kwa kozi inayolipa zaidi!
 
Huwezi ku-reapply, kama una hela yako poa ila kama unategemea bodi ya mikopo usijisumbue.

Unaweza fanya kitu kimoja. Credit transfer TCU na kwenda chuo na kozi unayotaka. Hivi hivi itakusumbua.

Ila TZ hakuna nimesoma nini. We piga shule mwishoni itajileta tu.

 
aah..wapi bwana! professional bongo hii! watu wengi hapa bongo wanafanya kazi ambazo haziendani na professional zao...unashangaa engineer kaajiriwa jeshi la polisi, kazi yake kukamata waharifu. wewe komaa tu na hiyo kozi na ukifika wakati wa kuchukua masters utajipanga kwa kozi inayolipa zaidi!

Kumbe kuna engineer anakamata wahalifu na hajapitia mafunzo ya upolisi?
 
Kusoma course gani inategemea sana na utashi wako binafsi wa nini unataka ku-achieve kwenye maisha yako huko mbeleni. Ndoto yako ni nini ? Kama moyoni mwako unahisi kabisa kwamba Computer Engineering au Telecom Eng ndio course unayotaka, basi fanya mpango ufanye credit transfer kama mtu mmoja alivyopendekeza hapo juu.

Binafsi, sijui BSc Building Survey wanafanya nini, lakini najua watu wa Architectural studies na Civil Eng. wanafanya vizuri. Watu wa Comp.Eng na Telecom Eng pia wanafanya vizuri wachache wao walioajiriwa au waliojiajiri. Lakini pia ukisoma ICT kuna fursa nyingi mbeleni kwa sababu technologia inabadilika kila siku na hivyo inatoa fursa mpya kila siku.

Lazima ujue soko la ajira kwa sasa, ajira ziko chache lakini graduates ni wengi sana lakini hiyo haikuzuii wewe ku-achieve dreams zako. Jiulize unataka ku-achieve nini na ufanye mikakati ya kufanikisha hizo ndoto zako.

Kila la kheri!
 
Ndg.angalia usije kujuta kama mm ninavyojuta baada ya kuchange combi kutoka PCB na kuhamia EGM kwani dream zangu zilikuwa kusomea udaktari lkn sasa nilimaliza chuo kimojawapo hapa bongo ktk course ya kimagumashi mtaani sasa pananihusu,soma hiyohiyo kwa sababu kama uliweka chaguo la tatu maana yake hiyo ilkuwa altenative kama chaguo la 1 na la 2 halikutiki,ushaur wangu komaa na hiyo BSc.Bulding survey
 
Kumbe kuna engineer anakamata wahalifu na hajapitia mafunzo ya upolisi?

engineer ni professional mtu anaipata akihitimu BSc. na upolisi anaupata akienda chuo cha polisi miezi 6 baada ya hiyo BSC. kwa hiyo professional = engineer & job = police officer! wapi huelewi unless mvivu wa kifikiri!
 
engineer ni professional mtu anaipata akihitimu BSc. na upolisi anaupata akienda chuo cha polisi miezi 6 baada ya hiyo BSC. kwa hiyo professional = engineer & job = police officer! wapi huelewi unless mvivu wa kifikiri!
Kumbe umekiri mwenyewe kwamba kuna mafunzo lazima?hiyo ndio ilikuwa point yangu.

Kumbe kuna engineer anakamata wahalifu na hajapitia mafunzo ya upolisi?
 
Kumbe umekiri mwenyewe kwamba kuna mafunzo lazima?hiyo ndio ilikuwa point yangu.

hivi wewe...professional usome miaka 4, upolisi miezi 6...wapi na wapi? ukiwa polisi (out of your professional) utatumia engineering kukamata mharifu? nini hatima ya professional yako? wajukuu zako utawasimulia kuwa una professional ya engineering na kuwaonyesha vyeti wakati hukutumia hiyo professional! wake up man...ona logic ktk comment yangu...najua unabisha ili kupoteza muda.
 
Eng mech inakufukuza na sio sabåbu nyngne hahaha.mm mwnyew nipo kwenye hlo daras pole kaka tujuane
 
Eng mech inakufukuza na sio sabåbu nyngne hahaha.mm mwnyew nipo kwenye hlo daras pole kaka tujuane
hahahahaah umenikumbusha sana mkuu.....vipi statics .....momentum,structure analysis,resultants zinasemaje???!!!
 
Back
Top Bottom