donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
Rapa tajir kutoka Cash Money ameliponda jarida la forbes kwa kumuweka nafasi ya 5 katika marapa matajir zaidi duniani nyuma ya Diddy,Jay z na Dr.Dre. Baby amewaambia forbes kwamba yeye anazaidi ya 100m us dollars na kwake huo mpunga ni kama vijisenti. Birdman ambae pia ni Co-owner wa Bronald oil and gas,kampuni ya mafuta ambayo anaimiliki yeye na bro.wake Ronald 'Slim' williams amesema utajiri wake hauwezi kulinganishwa na mtu yoyote mwingine katika music industry kule Us. Daah,sasa kibongobongo cjui wasanii wetu niaje. Eti ni msanii gani wa kibongo mwenye mpunga mwing kuliko wote?