Kijana wangu (YUPO MBALI NAMI) ameniambai anaumwa ugonjwa unaitwa bucela (sins uhskiks ns spelling zake)
Kwa kuwa nakaribia kunza mitihani ya semister ameshauriwa asianze dozi yake kwani itamleteamatatizo wakati huo;Naomba kujua huu ni ugonjwa gani na usababishwa na nini ,kuna tiba mbadala !
je maelekezo ya huyo daktari wake ni sahihi(mitihani wanaanza tarehe 13 hadi mwisho wa mwezi wa pili!
Kwa kuwa nakaribia kunza mitihani ya semister ameshauriwa asianze dozi yake kwani itamleteamatatizo wakati huo;Naomba kujua huu ni ugonjwa gani na usababishwa na nini ,kuna tiba mbadala !
je maelekezo ya huyo daktari wake ni sahihi(mitihani wanaanza tarehe 13 hadi mwisho wa mwezi wa pili!