DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,629
- 10,402
Simba hatuangalii sura
Kufungwa mechi moja ndo kiwango kimeshuka?Wadau toka amekuja huyu kocha Lwandamina naona kiwango cha klabu yetu ya Yanga kinashuka kwa kasi ya ajabu sana... Yaani tumekua Yanga Mdebwedo yani sisi wakupigwa Goli nne na Azam... Naomba uongozi wa Yanga umrudishe Hans Van Plujm haraka iwezekanavyo