Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,496
- 3,595
Poleni na Majukumu ya ujenzi wa Taifa wakuu. Nianze kutoa masikitiko yangu kwa hawa jamaa wanaojiita brela.
Hawa jamaa wanajiona Miungu watu.
Hawana Customer care, wanadharau kama si kuwapuuza wateja ilihali hawajui kuwa watoto wao wanakwenda msalani kupitia kodi za hao Wananchi.
Serikali ilianzisha mfumo wa usajili wa makampuni, majina ya biashara, alama za biashara nk kwa njia za mtandao kwa nia nzuri kabisa. Ulikua ni mfumo wa kupunguza urasimu na kuharakisha maendeleo ya nvhi yetu.
Cha ajabu yanayofanyika leo na Brela, wanarudisha maombi ya watu hovyo hovyo bila maelekezo ya kutosha.
Hivi mnadhani kila mtu anaesajili kampuni/biashara yake anafahamu mnachokifahamu ama anashughulika na jambo hilo hilo kila siku?
Mkipigiwa simu kutoa maelekezo mnatoa majibu ya hovyo, kwa mkato na kukata simu za wateja bila kujali kwamba mmepigiwa ili mlete utatuzi wala si kuleta nyodo kwa wanaolipeni.
Pili mteja anaamua awafuate Ofisini mnazuia mteja asiingie kwenu eti nenda kamalizane na mtandao??
Mko serious kweli?
Hebu oneni aibu na mbadilike, mpo Ofisini kutatua, kusaidia, kuelimisha na kuondoa changamoto za walaji wenu na si mahali pa kwenda kusaini na kuondoka.
Jioneni wenye hatia unaingia Ofisini na kutoka hakuna mteja alieridhika na huduma yako.
Nawasilisha.
@brela
Hawa jamaa wanajiona Miungu watu.
Hawana Customer care, wanadharau kama si kuwapuuza wateja ilihali hawajui kuwa watoto wao wanakwenda msalani kupitia kodi za hao Wananchi.
Serikali ilianzisha mfumo wa usajili wa makampuni, majina ya biashara, alama za biashara nk kwa njia za mtandao kwa nia nzuri kabisa. Ulikua ni mfumo wa kupunguza urasimu na kuharakisha maendeleo ya nvhi yetu.
Cha ajabu yanayofanyika leo na Brela, wanarudisha maombi ya watu hovyo hovyo bila maelekezo ya kutosha.
Hivi mnadhani kila mtu anaesajili kampuni/biashara yake anafahamu mnachokifahamu ama anashughulika na jambo hilo hilo kila siku?
Mkipigiwa simu kutoa maelekezo mnatoa majibu ya hovyo, kwa mkato na kukata simu za wateja bila kujali kwamba mmepigiwa ili mlete utatuzi wala si kuleta nyodo kwa wanaolipeni.
Pili mteja anaamua awafuate Ofisini mnazuia mteja asiingie kwenu eti nenda kamalizane na mtandao??
Mko serious kweli?
Hebu oneni aibu na mbadilike, mpo Ofisini kutatua, kusaidia, kuelimisha na kuondoa changamoto za walaji wenu na si mahali pa kwenda kusaini na kuondoka.
Jioneni wenye hatia unaingia Ofisini na kutoka hakuna mteja alieridhika na huduma yako.
Nawasilisha.
@brela