Kwahiyo bunge letu linazidiwa hoja na watu waliyo nje na kama ndivyo hawa wabunge tunawalipa mamilioni ya kazi gani kama wanashindwa kuona mambo muhimu ya kimsingi na kuamua kuupitisha kwa asilimia 100..hongera CDM make mmejiweka kando ktk kupitisha ushenzi huu ila Ole wao ccm na cuf walioupitisha muswada huu wa kusadikika
VIVA CHADEMA,sauti yenu ni sauti ya umma