Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
1. Wewe unajifunza wakati wenzio tunatafuta kazi!!!?? angalia usizeekee kwenye kujifunza.
2. Kuwa trendy. Typography za kisasa zinahusiha still graphics na timelapses
3. Hongera for making it from scratch
mkuu kumbuka hii ni forum ambayo imekusanya watu wa kada mbalimbali,hivyo sioni kama ni jambo jema ninyanyue mabega juu ili tu nionekane nimefuzu au napata sana kazi.mda mwingine ni bora kuacha jamii iku-judge yenyewe kwa kile kidogo unachofanya.allah alhamdulillah sifi njaa lakini pia siishi kwa kutegemea kinetic typography.thanks for your advice though.
karibu sana.
samahani kidogo,naomba unifundishe japo kwa maneno machache kuhusu hiyo time-lapse.ni nini hiyo mkuu?.
CC Lukansola
Kwanza nikupongeze kwa kujitahidi kutoa jibu la kiungwana kwa huyu @John Ezekiel.
Jamaa anafurahisha sana, yani kawa hiyo kama yeye anatafuta kazi sisi tusijifunze! kwani yeye hakujifunza?... ajabu sana, au kwake elimu ina mwisho kama Profesa Muhongo aliyesoma mpaka mwisho, wazungu wangekuwa na mawazo kama yako @John Ezekiel leo tusingekuwa na smartphones tungeishia kwenye Phillips Savvy hahaha...
View attachment 258555
Unanikumbusha jamaa mmoja wakati natamani kufanya graphics aliniambia haitanisaidia eti kwa kuwa siku hizi kuna software zinafanya design hivyo watu wanafanya kazi zao wenyewe, wakati huo ilikuwa 2002, nashukuru Mungu nilimpuuza huyu jamaa, maana leo nisingekuwa hapa nilipo japo sijaridhika lakini alhamdulillah na sasa najifunza motion graphics, sijifunzi kupata kazi najifunza kujua, unanukimbusha pia wale wahitimu wanakujaga hapa kusema nimemaliza chuo natafuta kazi badala ya kutengeza kazi. THINK
ndiyo mambo ya mitandaoni mkuu.mda mwingine inabidi uuvae ustaarabu unapo jibu post za watu kama hawa.
ulicho zungumza hapo juu ni sahihi kabisa.kwanza kabisa,ktk creative industry siyo lazima uzunguke na vyeti mtaani kutafuta kazi.kile unacho kifanya,ambacho wadau wanakiona na kuvutiwa nacho ni product/qualification kubwa ya kukuuza sokoni.huna haja ya kukimbizana huku na kule kutafuta kazi,deal zenyewe zina-flow ktk simu yako.unachotakiwa kufanya ni kutengeneza tu mtandao mzuri wa customers.
uzoefu wangu unaniambia,mara nyingi watu wenye statement za kujisifu kama huyo mdau hapo juu,ni amateurs wasio na CV ya project yoyote kubwa walizo wahi fanya ktk field yetu hii.
nimekaa hama mda wote nasubiri aje atufundishe/kutoa maelezo mafupi/marefu kuhusu "time-lapse".maana ni kitu kigeni kwangu/kwetu,sijawahi kukisikia.
nimekaa hama mda wote nasubiri aje atufundishe/kutoa maelezo mafupi/marefu kuhusu "time-lapse".maana ni kitu kigeni kwangu/kwetu,sijawahi kukisikia.
Baada ya kuona harudi nime consult dictionary yangu:
time-lapse
Also found in: Encyclopedia, Wikipedia.time-lapse
(tīm′lăps′😉adj.Of, using, or being a technique that photographs a naturally slow process, such as plant growth, on movie film at intervals,so that continuous projection of the frames gives an accelerated view of the process.
Sioni uhusiano wa hii kitu na mada yako...
timelapse mi nafanya sana kwenye simu yangu ni kitu kinachofanywa na camera au video editor kuifanya video ndefu sana (pengine hata siku hadi miaka) kuja kivideo kifupi. mfano unatega camera feri kwa siku nzima then ile video unaifanyia time lapse halafu inakuwa maybe dakika tatu. cheki hii timelapse ya nokia 808
https://www.youtube.com/watch?v=5YdhR8Px_dY
na kuhusu huyo jamaa anaesema yeye anatafuta kazi tayari inaonesha sio creative designer, huwa watu wa field hii wanajiajiri sababu ukiajiriwa unapokonywa uhuru wako na field hii haina mwisho na mtu anaetumia kalamu na karatasi anaweza mshinda mwenye masoftware zaidi ya 100 na pc yenye nguvu kushinda zote duniani. inahitaji talent zaidi kuliko vyeti.
ndiyo mambo ya mitandaoni mkuu.mda mwingine inabidi uuvae ustaarabu unapo jibu post za watu kama hawa.
ulicho zungumza hapo juu ni sahihi kabisa.kwanza kabisa,ktk creative industry siyo lazima uzunguke na vyeti mtaani kutafuta kazi.kile unacho kifanya,ambacho wadau wanakiona na kuvutiwa nacho ni product/qualification kubwa ya kukuuza sokoni.huna haja ya kukimbizana huku na kule kutafuta kazi,deal zenyewe zina-flow ktk simu yako.unachotakiwa kufanya ni kutengeneza tu mtandao mzuri wa customers.
uzoefu wangu unaniambia,mara nyingi watu wenye statement za kujisifu kama huyo mdau hapo juu,ni amateurs wasio na CV ya project yoyote kubwa walizo wahi fanya ktk field yetu hii.
nimekaa mda wote nasubiri aje atufundishe/kutoa maelezo mafupi/marefu kuhusu "time-lapse".maana ni kitu kigeni kwangu/kwetu,sijawahi kukisikia.
Mkuu, naona ww na mwenzako mmekuwa offended. pengine chakula nilichotema ni kigumu kumeza, nahisi ni kwasababu ya levels, mie nimezungumza kwa mentality ya level yangu, na nyie wanetu imewalemea. Anyway, kuhusu usemi wa kwamba "angalia usizeeke kwenye kujifunza" maana yangu ilikuwa hii field haina mwisho wa kujifunza, hivyo kanuni ni kupiga kazi huku unajifunza kwasababu kila siku teknolojia zinavumbuliwa kuacclerate hii shughuli yetu. Mfano, InDesign ndio ilikuwa unbeatable upande wa layout designing, lakini hivi karibuni zimeibuka flagship matata kuliko hii product ya Adobe.
Kuhusu aliyesema mimi ni ameteur, nadhani kila siku kazi zangu mnaziona EATV na K24 ya Kenya, hivyo muelewe mimi ni kaka yenu tu. Na nilipozungumzia "kutafuta kazi" nilimaanisha those corporate positions, sio freelace gigs ambazo hukati hulipi hata VAT tra. Najua wengi wenu ni self-taught hasa kupitia Youtube, Google na Torrents..tabia za self learners ni kuresist formality, hasa wanapokosolewa...so guys watch out. Mbali ya mm pia kuvitumia vyanzo hivyo kwa wingi mimi ni college graduate from a reputable instute of outside Tanzania.
jambo la mwisho na ushauri wangu kwenu wote wenye nia na hii field ya Interactive Multimeda & Design (Animation, Graphic, Web, Video etc) ni kwamba: We are learning a knowledge ahead of our time. Utandawazi umesaidia kujua kinachoendelea kwa wenzetu lakini sio kila kitu tunaweza himili. Ukijifunza Autodesk Maya au Nuke leo, Tanzania hii hutathaminiwa, kwasababu bado hatujafikia pace ya kuiaccomodate Autodesk Maya...coz faida ya huyu guy(this software) nikuproduce hollywood-like projects, ila kama unamtumia kuproduce 5 mins long projects, why not learn Cinema 4D? why not invest that time in learning After Effects? Kwahiyo mnapoendelea kujifunza msipeperushwe na upepo wa magharibi, the nature rule you...uchumi wetu bado sana ili kuinvest kwenye studio kwaajili ya kuproduce Sci-Fi movies, ass kicking projects n.k. What's my point? IT'S NOT ABOUT SKILLS...IT'S ABOUT HARDWARE AND FINANCES. Sijui kama mmenipata wazee.
ni bahati mbaya sana sikupenda "siasa za majigambo" ziingie ktk topic hii,hususani kwa jukwaa makini la Tech, Gadgets & Science.lakini kwakuwa thread unaipeleka huko,i will try to dance with your tune.Mkuu, naona ww na mwenzako mmekuwa offended. pengine chakula nilichotema ni kigumu kumeza, nahisi ni kwasababu ya levels, mie nimezungumza kwa mentality ya level yangu, na nyie wanetu imewalemea.
point.sina cha kuongeza....hii field haina mwisho wa kujifunza, hivyo kanuni ni kupiga kazi huku unajifunza kwasababu kila siku teknolojia zinavumbuliwa kuacclerate hii shughuli yetu. Mfano, InDesign ndio ilikuwa unbeatable upande wa layout designing, lakini hivi karibuni zimeibuka flagship matata kuliko hii product ya Adobe.
.Kuhusu aliyesema mimi ni ameteur, nadhani kila siku kazi zangu mnaziona EATV na K24 ya Kenya, hivyo muelewe mimi ni kaka yenu tu
nina idea kidogo na marketing japo sikusomea,ninavyo fahamu ni kwamba big budget cooperate project zinaenda kwa kampuni ambazo ni registered and well established.isipokuwa tu a freelancer can be hired as an expert kwa hiyo kampuni ambayo imepewa kazi na corporate company.tunarudi pale pale,freelancer ktk creative industry bado ana nafasi kubwa ya kuwa hired kutokana na efficiency yake ktk kazi.hana haja ya kugonga milango ya ofisi za watu kutafuta kazi.anachoweza fanya ni kujitangaza tu kupitia vyanzo mbalimbali.mfano social media,blogs,website,forums, etc.Na nilipozungumzia "kutafuta kazi" nilimaanisha those corporate positions, sio freelace gigs ambazo hukati hulipi hata VAT tra.
laiti kama ungejua most of online tutors ambao hata wewe huwasoma ni self taught,usinge dharau swala la watu kutafuta maarifa mtandaoni.Najua wengi wenu ni self-taught hasa kupitia Youtube, Google na Torrents..tabia za self learners ni kuresist formality
duh!!.hongera sana mkuu.mimi ni college graduate from a reputable instute of outside Tanzania.
point nzuri.sina tatizo nayo.We are learning a knowledge ahead of our time. Utandawazi umesaidia kujua kinachoendelea kwa wenzetu lakini sio kila kitu tunaweza himili. Ukijifunza Autodesk Maya au Nuke leo, Tanzania hii hutathaminiwa, kwasababu bado hatujafikia pace ya kuiaccomodate Autodesk Maya...coz faida ya huyu guy(this software) nikuproduce hollywood-like projects, ila kama unamtumia kuproduce 5 mins long projects, why not learn Cinema 4D? why not invest that time in learning After Effects? uchumi wetu bado sana ili kuinvest kwenye studio kwaajili ya kuproduce Sci-Fi movies, ass kicking projects n.k.IT'S NOT ABOUT SKILLS...IT'S ABOUT HARDWARE AND FINANCES..
Mkuu Adobe After Effects, ni kama ulikuwa mawazoni mwangu, umefafanua vizuri sana... kwa namna ya kujieleza aliyonayo huyu bwana nina shaka kama hata huko 'ulaya' alisoma kweli, nimesoma moja ya post zake za zamani alileta post yake kuhusu video yake akidai yeye ndo ya wa kwanza kuitengeneza na kuisifia yeye mwenyewe.
Mawasilaoni ni moja ya nyenzo muhimu kabisa katika biashara, au maisha kwa ujumla, sasa wewe umesoma mass communication lakini hujui useme nini wapi.
Huu uzi mimi binafsi umenisaidia sana tayari pamoja na kuwa hauna muda mrefu sana, kwa hiyo ningependa utumiwe na wale tu wanaopenda kujifunza, kama wewe unaona unajua tayari huna sababu ya kushiriki uzi huu, hata mwanzo mleta mada amesema kabisa kuwa lengo ni kupeana ujuzi.
nina hamu nione hizo project zako unaweza kuzitaja? maana sizifahamu.
its about skills kaka na sio mtaji, ukiwa na hela unaweza kuwa na maelfu ya software na computer unaweza jifunza setting zote ila huwezi kujifunza kipaji, kipaji unazaliwa nacho. nitakupa mfano wa mwanadada kseniya simanova yeye anakaa na meza na mchanga then anawapigia watu story kupitia mchanga. ameshinda tuzo za talents, projects kibao kubwa anafanya yeye hatafuti kazi na anatumia mchanga tu. mamilioni wanaangalia video zake youtube nenda ka upload wewe video zako youtube kama utapata viewers wengi.
cheki video yake
https://www.youtube.com/watch?v=BIVTBL5r1Hg&spfreload=10&hd=1
kuna watu wanachora kwenye paint vizuri kushinda hata wanaotumia photoshop, kuna wanaotengeneza motion graphics nzuri kwa powerpoint kushinda anaetumia after effects, kwanini wanaweza? ni talent kaka hata ujifunze setting vp kama hauna talent ukikutana na mwenye talent lazima utatulia.
ni bahati mbaya sana sikupenda "siasa za majigambo" ziingie ktk topic hii,hususani kwa jukwaa makini la Tech, Gadgets & Science.lakini kwakuwa thread unaipeleka huko,i will try to dance with your tune.
point.sina cha kuongeza
.
uzuri ni kwamba mimi ni mtazamaji mzuri wa EATV,na nimebahatika kuwa na urafiki wa karibu na baadhi ya staff wa pale hasa ma-cameraman,editors na watu wa transmission.nilibahatika kusoma nao college moja.la kusikitisha tu ni kwamba hatukupata bahati ya kusoma kwenye "reputable institute outside Tanzania".baadhi yao wapo hapa JF,nimewaalika tu kiroho safi waje wachangie japo mawili matatu.itakuwa bora ukituwekea moja ya motiongraphics video ulizo wahi fanya EATV.hakuna shaka huwezi kosa data hata kama sera za kampuni haziruhusu (mtizamo wangu tu).
nina idea kidogo na marketing japo sikusomea,ninavyo fahamu ni kwamba big budget cooperate project zinaenda kwa kampuni ambazo ni registered and well established.isipokuwa tu a freelancer can be hired as an expert kwa hiyo kampuni ambayo imepewa kazi na corporate company.tunarudi pale pale,freelancer ktk creative industry bado ana nafasi kubwa ya kuwa hired kutokana na efficiency yake ktk kazi.hana haja ya kugonga milango ya ofisi za watu kutafuta kazi.anachoweza fanya ni kujitangaza tu kupitia vyanzo mbalimbali.mfano social media,blogs,website,forums, etc.
jambo lingine ni kwamba,kama umefata taratibu zote za kusajili kampuni brela na ina TIN number,ili tu u-target project za mashirika,kwanini tena wewe mtu wa production uingie mtaani kutafuta kazi?.kwanini usiajili mtu wa marketing akufanyie kazi ya kukutafutia soko.au ni kampuni ya mfukoni!!?,kila idara una cover mwenyewe!!?.just curious you know.:madgrin:
laiti kama ungejua most of online tutors ambao hata wewe huwasoma ni self taught,usinge dharau swala la watu kutafuta maarifa mtandaoni.
nikupe mfano,leo hii mmiliki wa video copilot endrew kramer anaheshimika duniani kwa uwezo wake wa kuifundisha AE na kuunda motion graphics plug-ins mbalimbali.je unajua kwamba jamaa alijifunza AE yeye mwenyewe tangu angali kijana?.msome HAPA.
duh!!.hongera sana mkuu.
point nzuri.sina tatizo nayo.
Sitaki kuongea sana maana nilshaongea na kukuasa mawili matatu. Mkuu, wewe bado upo kwenye level "proving yourself", ndio maana unasisitiza kuona kazi ama kuwa na viewers nk. Mi nimeshavuka hapo, nafanya kazi na corporate clients kama hao wachache niliokuorodheshea, huku hakuna kuweka kazi ya mteja Youtube na ujinadi ati hii ni yangu, tunafanya kazi kwa copy rights na kibali cha mteja pale unapolazimika kutumia kazi ulizomfanyia kama portfolio ukiwa unatafuta kazi kwa mteja mwingine, and you're not the client, why should i upload my works for you???
P.S. Niliposema "HARDWARE & FINANCES/CAPITAL" are what matters nilimaanisha "SKILLS" everybody can afford it. Okay??
Sitaki kuongea sana maana nilshaongea na kukuasa mawili matatu. Mkuu, wewe bado upo kwenye level "proving yourself", ndio maana unasisitiza kuona kazi ama kuwa na viewers nk. Mi nimeshavuka hapo, nafanya kazi na corporate clients kama hao wachache niliokuorodheshea, (im an employee in kenya but i freelance too, I meet clients wakubwa kwasababu nipo kwny kampuni kubwa ya media hapa kenya, tunaweza ilinganisha na IPP hapo bongo) huku hakuna kuweka kazi ya mteja Youtube na ujinadi ati hii ni yangu, tunafanya kazi kwa copy rights na kibali cha mteja pale unapolazimika kutumia kazi ulizomfanyia kama portfolio ukiwa unatafuta kazi kwa mteja mwingine, and you're not the client, why should i upload my works for you??? Kuhusu kujuana na watu wa EATV, mimi sidili na cameramens or editors. Kwenye mastesheni kama hayo nadili na Head Of Programmes then Accountant.
P.S. mimi ni mteja mzuri wa Andrew kramer. Departmennt yangu imenunua Plugins/Packs zake zote. Wewe si unadownload za crack???!!! ungekuwa unampenda/kumfatilia na kuthamini mchango wake ungenunua au hata kumtumia donation/thank you letter
Sitaki kuongea sana maana nilshaongea na kukuasa mawili matatu. Mkuu, wewe bado upo kwenye level "proving yourself", ndio maana unasisitiza kuona kazi ama kuwa na viewers nk. Mi nimeshavuka hapo, nafanya kazi na corporate clients kama hao wachache niliokuorodheshea, (im an employee in kenya but i freelance too, I meet clients wakubwa kwasababu nipo kwny kampuni kubwa ya media hapa kenya, tunaweza ilinganisha na IPP hapo bongo) huku hakuna kuweka kazi ya mteja Youtube na ujinadi ati hii ni yangu, tunafanya kazi kwa copy rights na kibali cha mteja pale unapolazimika kutumia kazi ulizomfanyia kama portfolio ukiwa unatafuta kazi kwa mteja mwingine, and you're not the client, why should i upload my works for you??? Kuhusu kujuana na watu wa EATV, mimi sidili na cameramens or editors. Kwenye mastesheni kama hayo nadili na Head Of Programmes then Accountant.
P.S. mimi ni mteja mzuri wa Andrew kramer. Departmennt yangu imenunua Plugins/Packs zake zote. Wewe si unadownload za crack???!!! ungekuwa unampenda/kumfatilia na kuthamini mchango wake ungenunua au hata kumtumia donation/thank you letter