Breakup zinauma sana

0830x

Member
Joined
Aug 28, 2024
Posts
48
Reaction score
122
Imagine ungekuwa na uwezo wa kugundua kuwa mwezi ujao mpenzi wako unaempenda kwa dhati atakuacha na atakutangaza hadhari kuwa kakupiga cha mbavu. Hapo the smartest move ni wewe kumuacha mapema kabla hajachukua point zote 3 muhimu ili kulinda ego yako. Na ikiwezekana muonyeshe na mtantangaze mpenzi wake mpya hadharani mapema kabisa.

Anyway sijui nataka kusema nini, ila sio kuhusu mahusiano.
 
Usitumie moyo kupenda, tumia akili
 
Huyo ni mwanaume lakini, itakua kuna single mama kampurura visenti vyake halafu kampiga cha mbavu na warning juu
Kwenye maisha yangu huwa nahisi comfortable zaidi kuachwa. Nakuwa na amani , kuacha huwa nawaza mengi ( hasa huwezi jua atapata maumivu gani ) nikiwaza hapo naona ni bora niumie mie kuliko aumie yeye
 
Ikitokea umewahi au umewahiwa still matokeo ni Yale Yale Tu kuwa mmeachana, so Nafikiri ifike Mahal tuache kufikiri Sana mambo ambayo hayaleti pesa mfukoni...Watu wanaofikiria namna hiyo basi wanaishi Kwa tabu Sana, mashindano ya Aina hiyo huwa hayana afya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…