Ndo maana nikasema kila mtu alipita njia yake! Ungeachwa usingepata appetite ya kula, hakuna msosi utakua delicious kwako,π€£uzur n kwamba tumbo na moyo havihusiani bwan ππebu imagine nyama aah napenda sana misos mizur mizur ndo ilkua mingi apana nilchagua kulaππΎ
Wife ex wife alijua unapitia nini, wengi they don't bother tena anafurahi uumie!Kiliniramba alooh! Maji niliita mma, siku tatu nzima nilijifungia ndani, na repeat song ya pain in me kuanzia asubuhi hadi usiku..usiku wa manane. Nakumbuka watoto wanarudi shule jioni wanaona kama siko sawa." Daddy are you allright?!" .lilikuwa swali la watoto kila wanaporudi shule. Sasa sijui walizungumza nini na mama yao ( ex - wife ) akanitumia ujumbe angalau ulinipa nguvu na kuwaza kuwa inabidi nisimame imara. " alubati are you okay? Najua hali hii inaumiza lakini imeshatokea,hakuna kitu tunaweza badilisha,move on...stay strong..stay strong just for hao watoto,unawapa wasiwasi na unyonge pia." Kuanzia hapo nikawa kama nimezinduka usingizini. Hata aina ya mziki nikabadilli sasa kutoka why dont you see that pain in mee ...hadi ridin' ya chamilionare,nakumbuka nikiwa room na rap " they se me rollin' ..they hatin'.. patrollin tryna catch me ridin' dirty,tryna catch me ridin' dirty..
Nashukuru Mungu hili nalo lilipita salama.
Sasa hivi nikiwa na wapenzi watano naona wachache.
aseeee πππNdo maana nikasema kila mtu alipita njia yake! Ungeachwa usingepata appetite ya kula, hakuna msosi utakua delicious kwako,π€£
Watoto aliwahurumia maana hali ya huzuni ilikuwa kwao pia hasa ikizingatiwa mimi ndio nilibaki nao, nahisi walizungumza wakamwambia dadii yupo hivi na vile.Wife ex wife alijua unapitia nini, wengi they don't bother tena anafurahi uumie!
Mi wasichana wamtaani kwetu walikuwa wanadai bora wakae na magazeti kuliko kuwa na mahusiano na mimi (bonge la komwe halafu nilikuwa nimetitia,kafupii ,keusii).Hata huyu nilienae sasa hivi sijui kanipendea nini.Sina break up yoyote kwa sababu nilikuwa sitongozi .
Hujakutwa na jamaa afu nawe ukakubali umezama kwake.Poleni sana wanaume kumbe ndo mnavyoumiaga hivi??
Hebu atokee mwana wa Israel mmoja anikoseshe amani, nilie nihuzunike nishindwe kula. Tatizo mimi msg za mapenzi nazisoma kwa herufi kubwa ndiomana hata mtu akisema tuachane hainiumizi..!! Namwambia kwenda mwana kwenda
that's it....ukitembea mbele nenda usirudi#gentleman codeYeah sure,sijawahi tena kuumia na kuna siku tulikutana somewhere we even shared a room ila hata kusisimuka hakuna it was as if am with my sister...
Sijui nikoje udugu, nikimpenda mwebrania ila akianza kunionyesha red flags mapema naanza kumsoma kwa herufi kubwa na biashara inaishia hapo..!! Kinachobaki ni kufake mpk atakapoona yy ajitoe muda huo mimi nishamtoa kitambo ππππHujakutwa na jamaa afu nawe ukakubali umezama kwake.
Mbona utasema,
Sijui nikoje udugu, nikimpenda mwebrania ila akianza kunionyesha red flags mapema naanza kumsoma kwa herufi kubwa na biashara inaishia hapo..!! Kinachobaki ni kufake mpk atakapoona yy ajitoe muda huo mimi nishamtoa kitambo
Ujinga huo na kujiendekeza unapendaje toto la mtu hafu unakuta ana bichwa kubwa km tofari π€£π€£π€£π€£Niliingia kwenye mahusiano nikiwa mdogo, kwa kifupi nilizama kwa jamaa, ghafla bin vuup, jamaa ananimwaga tena ananitema kavu kavu.
nusu watangaze coca ameanza uzezeta km sio undondocha.
Ashukuliwe kijana M, alikuja kwangu km ametumwa kwa lengo maalumu, alinibadilisha fikra, mtazamo, mawazo, na akanionesha uhalisia wa maisha ya mahusiano, akanijenga msimamo, na akafundisha maisha namna yalivyo.
Popote ulipo M, ubarikiwe zaidi na zaidi, natamani 1 day tuonane ili nikushukuru kwa yote ulioni tendea, bila wee Leo nisingekua mie na sio hapa nilipo.
....mapenzi ya kweli yapoo....
Ujinga huo na kujiendekeza unapendaje toto la mtu hafu unakuta ana bichwa kubwa km tofari
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka π€£π€£π€£π€£sema kweliii?
π€£π€£π€£π€£ Pole udugu mapenzi yangekuua udugu wangu, ss hivi usipende sana banauduguu yule shetty wa mama mkwe, nilizama haswaaa. Yaan wee acha tyuuh
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka
Nguo zake nilichoma moto zote na kwangu nimempiga marufuku.! Nishamblock mpk nimechoka nimeamua niache..!!
Hapo kati nikaanzisha husiano la mitandaoni nalo limebuma mapema
Ss hivi kuna mwebrania namsikilizia aliniapproach kitambo ananisumbua mjukuu wa Queen Elizabeth yupo copper belt hapa ndo nataka nimpe nafasi ila huyu napanga nichukue na mbegu nizae ka half cast kangu ntulie
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka
Nguo zake nilichoma moto zote na kwangu nimempiga marufuku.! Nishamblock mpk nimechoka nimeamua niache..!!
Hapo kati nikaanzisha husiano la mitandaoni nalo limebuma mapema
Ss hivi kuna mwebrania namsikilizia aliniapproach kitambo ananisumbua mjukuu wa Queen Elizabeth yupo copper belt hapa ndo nataka nimpe nafasi ila huyu napanga nichukue na mbegu nizae ka half cast kangu ntulie
Nilie kwasababu ya nini?? π€£π€£π€£π€£Utalia kuliko huyo mtoto utakae mzaa
Sahivi mda wa kupenda ninao sasa?Pole udugu mapenzi yangekuua udugu wangu, ss hivi usipende sana bana
Udugu em niache umenifanya nicheke ππππhao wajukuu wa Elizabeth, chukua mbegu fastaaa, ila umtunze vzur, sio anakua half cast koko utasema katelekezwa na m German bhana.