Breaking news

Breaking news

mankachara

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
6,161
Reaction score
3,495
BREAKING NEWS

FA imefuta matokeo ya mchezo kati ya Chelsea vs Liverpool. Mchezo haukua huru na wa haki, Klopp alijitangazia ushindi wa kishindo kabla muamuzi hajamaliza mpira.

Hivyo mwenyekiti wa FA amefuta matokeo ya leo na mechi itarudiwa baada ya msimu wa baridi kumalizika via #Jecha's_decision
 
wanafunzi wa form 4 baada ya kuona mtihani mgumu wameamua kujitanganzia matoke ili mtihani ufanywe upya
 
Hahahaa...

Nimeamua kumtangazia mke wangu kwamba ndoa yetu haikuwa ya uhuru na haki so nimeamua kuleta michapuko mingine ..
 
Back
Top Bottom