Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kampuni ya ndege ya rwandair inatarajia kuingiza ndege yake ya pili
b737/800 kutokea seattle marekani..habari zaidi zinasema ndege hiyo
mpya iliotokea kiwandani inatarajia kuwasili mchana huu saa kumi
kwa ajili ya safari za nje mbali mbali ambazo lengo ni kuakikisha
inasafirisha abiria pande zote west,east south afrika pamoja na
europe......kwa picha zaidi baada ya kuwasili tutawatumia pale tutkapopata
hongera kagame hongera wanyarwanda hii ni step moja nzuri katika kuimarisha
sekta ya anga bara letu la afrika
b737/800 kutokea seattle marekani..habari zaidi zinasema ndege hiyo
mpya iliotokea kiwandani inatarajia kuwasili mchana huu saa kumi
kwa ajili ya safari za nje mbali mbali ambazo lengo ni kuakikisha
inasafirisha abiria pande zote west,east south afrika pamoja na
europe......kwa picha zaidi baada ya kuwasili tutawatumia pale tutkapopata
hongera kagame hongera wanyarwanda hii ni step moja nzuri katika kuimarisha
sekta ya anga bara letu la afrika