ni kweli mi kama msemaji wa TFF,tumepokea hiyo barua,,lakini hao wachezaji tunawaundia sheria yao peke yao,kua wanapokua uwanjani wanatakiwa watembee kwa kutumia mguu mmoja tu...na tunawapa tahadhari manjano fc na yule mchezaji wao tegemezi sanchoka molinga wataoga magoli mengi,,,,hivo sisi kama chama cha michezo tunawaruhusu yanga ikifika ratiba ya kucheza na simba waende kwenye shughuli za kuchambana uko uswahilini wakiwa na madera yao ya njano bila kusahau vikuku miguuni,,huku miss molinga akiongoza kosi la kuchamba,asanteni.!