Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF naombeni mawazo yanu,
Siasa ya Tanzania mbaya sana watu wanakufa kwa umasikini, maisha yao yanaendelea kuwa duni chini ya serikali ya CCM. Watu wamaichoka serikali hii watu hawtaki kuisikia hata kidogo. CCM imeona kwamba imepoteza muelekea kisiasa na kimaadili kwa viongozi wake.
CCM imetafuta ni kitu gani ambacho ikikifanya kinaweza kuondoa hata kupunguza machungu ya wananchi kwa serikali ya sisimu ni kuileta Brazil TAnzania. WaTanzania wenye akili changa wataona serikali inafanya kitu cha maana kumbe ndo inazidisha umasikini.
Hili ni chenga la macho kuwapumbaza wananchi wasiendelee kuisakama serikali ya CCM kwa kutofanikisha malengo yao.
WanaJF mnasemaje??
Siasa ya Tanzania mbaya sana watu wanakufa kwa umasikini, maisha yao yanaendelea kuwa duni chini ya serikali ya CCM. Watu wamaichoka serikali hii watu hawtaki kuisikia hata kidogo. CCM imeona kwamba imepoteza muelekea kisiasa na kimaadili kwa viongozi wake.
CCM imetafuta ni kitu gani ambacho ikikifanya kinaweza kuondoa hata kupunguza machungu ya wananchi kwa serikali ya sisimu ni kuileta Brazil TAnzania. WaTanzania wenye akili changa wataona serikali inafanya kitu cha maana kumbe ndo inazidisha umasikini.
Hili ni chenga la macho kuwapumbaza wananchi wasiendelee kuisakama serikali ya CCM kwa kutofanikisha malengo yao.
WanaJF mnasemaje??