ahsante bwana JK Kwa kutununulia magoli matano kwa billioni tatu
Maungu akutie hamu uwalete na wakina TORES MWAKANI
Yeye kuwalipa wafanyakazi wa Tanzania kima cha chini cha Tsh 315,000/= hawezi na hataki! Lakini kununua magoli 5 toka Brazil kwa dakika 90 kwa Tsh 3 billioni anaweza na anakuwapo uwanjani kuona kijana wa kiTanzania akivuka kiwanja na kumkumbatia KAKA. What a shame?