Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Huu ni mtazamo baada ya kuona wakongwe, watoto wa samba waliojiamini toka Wc inaanza mpka jana wakalamba mchanga.
Brasil imekuma inajiamini kama CCM kuwa wao ndo wenyewe hawakujua kuwa damu changa zinataka mapinduzi ya kweli. WC hii tutegemee mengi vigogo na wakongwe kuaga mashindano haya.
Nimelinganisha Brasil na CCM mana Serikali ya CCM ndo iliwaalika Brasil Kuja TAnzania for friendly match inawezekana Serikali ya JK ndo imewatia GUNDU.
Hapa nalinganisha JK na DUNGA ambaye kashidwa kubeba jahazi la wabrasil na wapenzi wake kibarua chake kinaweza kuota mbawa mwaka huu . Je JK ategemee kama yatakayompta DUNGa???
Brasil imekuma inajiamini kama CCM kuwa wao ndo wenyewe hawakujua kuwa damu changa zinataka mapinduzi ya kweli. WC hii tutegemee mengi vigogo na wakongwe kuaga mashindano haya.
Nimelinganisha Brasil na CCM mana Serikali ya CCM ndo iliwaalika Brasil Kuja TAnzania for friendly match inawezekana Serikali ya JK ndo imewatia GUNDU.
Hapa nalinganisha JK na DUNGA ambaye kashidwa kubeba jahazi la wabrasil na wapenzi wake kibarua chake kinaweza kuota mbawa mwaka huu . Je JK ategemee kama yatakayompta DUNGa???