Seif Chichiry
Member
- Jan 22, 2013
- 6
- 0
View attachment 111084It has three bed rooms, two of them are master bed rooms, living room kubwa, dinning room kubwa.
Iko mil.90,kama unakubaliana na offer yangu ni PM.
Wash basin ya gharama na quality unaweza kupata kwa laki5, sasa unataka kumpunguza mtu mil 115 kwa sababu ya washbasin? Ofcourse material yaliyofanyiwa finishing ni ya gharama ndogo kidogo, ila angalia huo mtaa kama unaona vizuri, Ukuta tu ni kama 12m kuujenga, paving blocks hapo na garden atakuwa katumia si chini ya 8m, bati ya juu hiyo ni kama 6m paa zima, milango nyumba nzima ni kama 4-6 depending na aina ya mbao,gypsum, PVC na ufundi wake unafika 4-6m depending na type ya board alizotumia.... floor tiles hata kama kanunua za elf 20 kwa sqmtr haitopungua 4m kwa nyumba nzima (pamoja na ufundi), madirisha na grill zake nadhani inafika kwenye 7m hv, geti na kipaa chake ni kama 1.5-2m....sasa kama kweli wewe ni mjenzi na unaona unaweza kubit hiyo price nenda kajenge yako, acha kejeli... Sijagusia gharama ya kiwanja hapo....Kwasisi tuliopitia Ujenzi, naona kama haupo serious sana, Nimeipenda pia hiyo 'washing Basin' kwani ndo nimetumia kama sample ya ku-judge level ya materials zilizotumika kujenga hiyo nyumba. Kumbuka hakuna Nyumba yenye Master bed room zaidi ya moja au ulitaka kumaanisha hivyo vyumba ni self Contained? Mimi nipo tayari kukutafutia M85 tu zaidi ya hapo endelea kusikilizia watu wengine