Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 118
<br />Nauza brand New DELL laptop. Laptop hii haijatumika kabisa na ina warrant. Maelezo ya kiitaalamu ya hii laptop ni kama ifuatavyo;<br />
<br />
Brand: DELL INSPIRON<br />
Model: N4010<br />
Display Size: 14 inches<br />
Maximum Resolution: 1366x768<br />
Processor Model: 350M<br />
Processor Speed: 2270 MHz<br />
Installed Memory : 4 GB<br />
Hard Drive Type: Hard Disk Drive<br />
Total HD Size: 500 GB<br />
Hard Drive Speed: 5400 RPM<br />
Graphic Type : Discrete<br />
Discreet Graphics Chipset Model : Mobility Radeon HD 5470<br />
Graphic Memory : 1024 MB<br />
<br />
Kwa yeyote anayehitaji anaweza kuni PM. Bei ni Tshs. 1,650,000.<br />
<br />
Sababu za kuiuza : Kuna mtu aliniomba nimnunulie nimletee lakini baada ya kuileta anataka eti awe ananilipa kidogo kidogo, nikashtuka, nikajiona kwamba sasa naingizwa mjini!!!<br />
<br />
Tiba
<br />
tiba unajua bongo vimejaa vilaptop vya laki 6 hadi 8. Tena wengine wanauziwa netbook wanadhani laptop. Wakati nafika bongo nilishangaa kuona laptop bei rahisi kuliko nilipotoka baadae nikagundua wanapigwa na refurbrished bila kuambiwa. Pia ukidumu nayo mwaka mmoja bila matatizo unamshukuru Mungu