MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,882
Friends with your crushie hayo mambo ndo siwezi nshawahi kuwa na crush binti Fulani na alijua nampenda nilimwambia akakataa na yeye alikuwa ananipenda sema sjui mnashindwa kuji express na alikuwa hachoki kunitafuta na kuni text nikaona sasa huu utakuwa ujinga nikaacha kujibu text zake akawa analalamika ila hachok kunijulia Hali nikabadili namba maana kuendelea kumtext na kumuona wasap roho ilikuwa inauma hivi hapo nilikosea?Ndiyo nimemuita hivyo kusudi sababu ni miongoni mwa watu wanaoni crush..!!
You never know we can be good friends!
Unataka umuweke jamaa kweny friend zoned bora na yeye atoweke tu