Boyfriend wangu anasupport cheating

Huyo jamaa kazidisha kuleta mwanamke kwenye kitanda unacholala na mkeo ni kosa kubwa sana
kuna member hapa jf aliwahi kuletewa muuza k chumbani kwao. ndoa yake ilisurvive so hayo ni mapito tuu
 
kuna member hapa jf aliwahi kuletewa muuza k chumbani kwao. ndoa yake ilisurvive so hayo ni mapito tuu

kha!!! husband alikuwa ana gegeda papuchi ya malaya...kweli huyo wakajanga!
 

lara 1 ,we umejitambua.. Yaani umeyaangalia maisha kama yalivyo.Hufikirii nifanye kama yule au wale..
Nimeipenda stance yako.
 
Last edited by a moderator:
Na kama huyo mke wake ameenda ku2lizwa na jamaa lingine huko anakosema ameenda kikazi!? Hakuna aliyemkamilifu, sema huyo jamaa kakosea kumleta kimada mpaka ndani..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…