Boyfriend wangu anasupport cheating

Kwan hijui kama majanaume ya kibongo karibia yote yapo hivyo hivyo hata kama likikaa kimya.
sijui tumerogwa na nani?

we acha tu mpaka em having second thoughts ila unaweza tena utaenda wap ambako hamna such things??? such a rotten and crazy world!!
 
mhm hapo mwana atakuwa anagegeda sana tuu...lakini jamani wanandoa ndio wanaleteana majaribu.
 
Kwahiyo akifanyia nje ndo itakuwa salama????????????


Ndugu yangu,

Hebu fuatilia mjadala na comments zangu...

Sijasema wafanyie wapi labda kama unataka kunisaidia ...and there you have it wrong...

Ndiyo maana nasema ni upuuzi wao...but yet millions are in it!!


Babu DC!!
 


Mwalimu anakusubiri lara 1...

Wewe ingia darasani upige shule...time is the best professor on this planet and is waiting for you!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

kweli kabisa kucheat si msamiati mgeni hata kidogo...

siongezi neno hapa
 
Hiyo familia inatisha hakuna wakumshtua mwenzie anapotaka kuanguka?na huyo mwanamke wa kwenda kulala nyumba ya mwenzie kisa yupo shule au wamegomba hafai katika jamii. akirudi, wakipatana? hawa wanaume wengi wao akili zimehamia katikati ya miguu yao. bora umemfahamu mapema. lakini mwingine ni upeo tu mdogo muulize mbona anasupport ujinga umsikie anavyojibu,yawezekana akatambua anacho support ni kuzidi kuvunja nyumba ya kakaake na akamrekebisha kakake.
 
Kwan hijui kama majanaume ya kibongo karibia yote yapo hivyo hivyo hata kama likikaa kimya.
sijui tumerogwa na nani?

Msome mkuu SMU hapo chini,

Kama kweli unaamini kuwa haya yanafanywa na majanaume tu....

Nahisi kama hii dunia itakuwa na wanaume wachache au hawapo kabisa...

At least tupo tupo ambao tunaweza kuhesabiwa....!!


Uko sahihi mkuu....Huu upuuzi hauna race au geography!!

we acha tu mpaka em having second thoughts ila unaweza tena utaenda wap ambako hamna such things??? such a rotten and crazy world!!

Ukishafikia hitimisho kama hilo, basu ujione kama unaanza kufikiria kiutu uzima...

Prepare yourself for anything mdogo wangu...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: SMU
Ndugu yangu,

Hebu fuatilia mjadala na comments zangu...

Sijasema wafanyie wapi labda kama unataka kunisaidia ...and there you have it wrong...

Ndiyo maana nasema ni upuuzi wao...but yet millions are in it!!


Babu DC!!

Hebu oanisha maelezo yako ya hapa juu na hapa chini kwenye red halafu uniambie kwamba ulikua unamaanisha nini kama na wewe ujasupport huyo jamaa kufanya hicho kitendo but hukutaka afanyie home!!!!!!!

 
kweli kabisa kucheat si msamiati mgeni hata kidogo...

siongezi neno hapa

Ndiyo maana tunawapa wosia hawa wajukuu, kwamba wale ambao wameshindwa kufunga zipu zao hata baada ya kuingia kwenye ndoa, wahakikishe hawawaumizi wenzi wao au kufanya mambo ya ajabu ajabu kama hayo.

Babu DC!!
 
Hebu oanisha maelezo yako ya hapa juu na hapa chini kwenye red halafu uniambie kwamba ulikua unamaanisha nini kama na wewe ujasupport huyo jamaa kufanya hicho kitendo but hukutaka afanyie home!!!!!!!

Tatizo wewe na mimi tuko dunia mbili tofauti...

Mwenzio nasoma context wakati wewe unasoma maneno...hatuwezi kuwa sawa mkuu...

Experience ni kitu kingine ndugu yangu......

Babu DC!!
 

Mimi ninachoona hapa ambacho ni kibaya zaidi ni huyo mwanamume kusema upuuzi kama huo mbele ya GF wake ambaye soon anakuwa mchumba.....

Kama anajua upuuzi wa kaka yake na hawezi kumshauri asifanye hivyo, basi angeacha iwe siri yake.... ila kuanza kumweleza GF wake na kumtetea brother hapo kachemsha.....

Babu DC!!
 
Tatizo wewe na mimi tuko dunia mbili tofauti...

Mwenzio nasoma context wakati wewe unasoma maneno...hatuwezi kuwa sawa mkuu...

Experience ni kitu kingine ndugu yangu......

Babu DC!!

Ngoja nikuache uendelee na dunia yako.
 
Lakini najua huwezi kukwepa ndoa, hata kama utabaki na mpenzi tuu lakini hata huyo anaweza kukufanyia hivyo!

Inabidi ukubali mataokeo na hili la kwenye juice halito punguza maumivu yako lara 1 kama kimetokea kimetokea!

We jiandae kuingia uwanjani!

 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaha
Ila uwanjani lazima aingie!

Mwache aogope mapema bwana,

Anaweza kuwahi kwa Bishop akitoloshewa kwenye convient....nimeambiwa Masista wa Canosa wanahitaji new blood...:whistle::whistle:

Babu DC!!
 
Mi nilijua tuko tofauti kama Mwanajeshi na Doctor??????


Hapana maneno mkuu,

Ila kama match zingekuwa zinaisa kwa wakati mmoja, naamini tungekamata na kuwa sawa....

Tatizo ni kwamba wengine tumeshastaafu wakati may be wenzetu ndiyo mnasaka ajira....

Unaweza kuona mwenyewe sasa....lol!!

Babu DC!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…