itakua hamjaele, ni hivi, kila mtu amewahi kuwa na mpenzi sawa? katika mahusiano yenu unakumbuka nn ambacho mpenz wako wa kike/kiume wa zamani au wa sasa aliwahi kukufanyia/kukuambia na kikakushangaza sana? mi nimetoa mfano kwamba kuna cku moja nlikua sokoni na mpenz wangu,mara gafla akakaa chini nakunyoosha miguu huku akisema baby nibebe nimechoka na watu wamejaa sokon. hiki ni kituko niliwah fanyiwa na mpenz wangu. je wewe uliwah fanyiwa au kuambiwa nn na mpenz wako kikakushangaza?