boxing day

boxing day

shansarie

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2013
Posts
5,690
Reaction score
3,370
x mass inakuja wale wanaume kwa wanawake mlio zoea kupewa tu na nyie mjifunze kutoa jamani
hata kizawadi kidogo kwa mwenzi wako au nduguyo mara moja kwa mwaka sio mbaya acheni uchoyo.
inapendeza na kufurahisha atakukumbuka pia ktk maisha yake si lazima ukanunue magold na madiamond platnum
hata hii inafaa

1459940_573577692737325_1258112891_n.jpg
figganigga Judgement mwallu Lady doctor Mamndenyi kiwatengu Heaven on Earth Passion Lady Baba V Excel Munkari watu8 Mr Rocky Erickb52 The secretary Valentina farkhina kabanga Chocs Arushaone chama na wengine wote
 
Last edited by a moderator:
x mass inakuja wale wanaume kwa wanawake mlio zoea kupewa tu na nyie mjifunze kutoa jamani
hata kizawadi kidogo kwa mwenzi wako au nduguyo mara moja kwa mwaka sio mbaya acheni uchoyo.
inapendeza na kufurahisha atakukumbuka pia ktk maisha yake si lazima ukanunue magold na madiamond platnum
hata hii inafaa

View attachment 125372
figganigga Judgement mwallu Lady doctor Mamndenyi kiwatengu Heaven on Earth Passion Lady Baba V Excel Munkari watu8 Mr Rocky Erickb52 The secretary Valentina farkhina kabanga Chocs Arushaone chama na wengine wote

namngoja nun wangu mwallu aje!!

sijui wamempeleka parish gani leo? MMU au?

by the way, nina kizawadi kidogo tu kwake!

in and out to the parish!
Nissan-Terrano-Wallpaper-HD.jpg
 
Last edited by a moderator:
shansarie
Hii zawadi ya mkungu wa ndizi mpenzi huyo Somalia? Mimi nimeshampa Mamndenyi moyo wangu sasa sijui kama kuna zawadi inayozidi hiyo vingine ni kujaziajazia!
 
Last edited by a moderator:
shansarie
Hii zawadi ya mkungu wa ndizi mpenzi huyo Somalia? Mimi nimeshampa Mamndenyi moyo wangu sasa sijui kama kuna zawadi inayozidi hiyo vingine ni kujaziajazia!

Vyakujazia navyo vinaumuhimu wake chama usimzeeshe mama yangu Mamndenyi kumlaza njaa ukidai umempa moyo atakula huo moyo wako?
 
Last edited by a moderator:
x mass inakuja wale wanaume kwa wanawake mlio zoea kupewa tu na nyie mjifunze kutoa jamani
hata kizawadi kidogo kwa mwenzi wako au nduguyo mara moja kwa mwaka sio mbaya acheni uchoyo.
inapendeza na kufurahisha atakukumbuka pia ktk maisha yake si lazima ukanunue magold na madiamond platnum
hata hii inafaa

View attachment 125372
@figganigga Judgement mwallu Lady doctor Mamndenyi kiwatengu Heaven on Earth Passion Lady Baba V Excel Munkari watu8 Mr Rocky Erickb52 The secretary Valentina farkhina kabanga Chocs Arushaone chama na wengine wote
kweli dada angu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom