B Blee Member Joined Jul 9, 2016 Posts 39 Reaction score 4 Aug 22, 2016 #1 50, 000/= 0654 796047 0625 645166 Attachments 20160813_132013.jpg 45.8 KB · Views: 32
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,454 Aug 22, 2016 #2 Blee said: 50, 000/= Click to expand... Khaaaa!!! Ndio nini hiko?? Kinafanyia nini chupa ya bia? Kinapatikana huku Torabora au huko kwenu Sitimbi
Blee said: 50, 000/= Click to expand... Khaaaa!!! Ndio nini hiko?? Kinafanyia nini chupa ya bia? Kinapatikana huku Torabora au huko kwenu Sitimbi
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,105 Aug 22, 2016 #3 unapatikana wapi na inaingia chupa ngapi?
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,454 Aug 22, 2016 #4 miss chagga said: unapatikana wapi na inaingia chupa ngapi? Click to expand... Nawe si unifahamishe ni kidudumtu gani hicho kinauzwa hapa??
miss chagga said: unapatikana wapi na inaingia chupa ngapi? Click to expand... Nawe si unifahamishe ni kidudumtu gani hicho kinauzwa hapa??
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,105 Aug 22, 2016 #5 Asprin said: Nawe si unifahamishe ni kidudumtu gani hicho kinauzwa hapa?? Click to expand... babu hiyo ni mashine ya kuua vijidudu hasa kwenye chupa za watoto wadogo .. unaosha ukimaliza uanziweka humo inaua vidudu inatumia umeme
Asprin said: Nawe si unifahamishe ni kidudumtu gani hicho kinauzwa hapa?? Click to expand... babu hiyo ni mashine ya kuua vijidudu hasa kwenye chupa za watoto wadogo .. unaosha ukimaliza uanziweka humo inaua vidudu inatumia umeme
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,454 Aug 22, 2016 #6 miss chagga said: babu hiyo ni mashine ya kuua vijidudu hasa kwenye chupa za watoto wadogo .. unaosha ukimaliza uanziweka humo inaua vidudu inatumia umeme Click to expand... Ah basi kumbe hainihuuu.... mi nasafishaga chupa za bia tu baaaas
miss chagga said: babu hiyo ni mashine ya kuua vijidudu hasa kwenye chupa za watoto wadogo .. unaosha ukimaliza uanziweka humo inaua vidudu inatumia umeme Click to expand... Ah basi kumbe hainihuuu.... mi nasafishaga chupa za bia tu baaaas
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,105 Aug 22, 2016 #7 Asprin said: Ah basi kumbe hainihuuu.... mi nasafishaga chupa za bia tu baaaas Click to expand... sawa tu
Asprin said: Ah basi kumbe hainihuuu.... mi nasafishaga chupa za bia tu baaaas Click to expand... sawa tu
B Blee Member Joined Jul 9, 2016 Posts 39 Reaction score 4 Aug 22, 2016 Thread starter #8 Napatikana gongo la mboto, zinaingia chupa nane hadi kumi
B Blee Member Joined Jul 9, 2016 Posts 39 Reaction score 4 Aug 23, 2016 Thread starter #9 Nitafute kwenye simu kama unahitaji miss chagga
B Blee Member Joined Jul 9, 2016 Posts 39 Reaction score 4 Aug 23, 2016 Thread starter #10 Napatikana gongo la mboto, zinaingia chupa kumi na kuendelea, nitafute kwenye simu kama unahitaji