BoT yavunja Rekodi Kuuza Akiba ya Dola huku Thamani ya Shilingi Ikizidi Kushuka

BoT yavunja Rekodi Kuuza Akiba ya Dola huku Thamani ya Shilingi Ikizidi Kushuka

Club Mate

Member
Joined
Aug 1, 2025
Posts
8
Reaction score
39
BOT.png


Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika rekodi za huko nyuma za benki kuu.

Soko la IFEM ndiyo sehemu kuu ambapo biashara ya fedha za kigeni hufanyika nchini. Hapa, benki za biashara na BoT hukutana kupanga thamani ya Shilingi kulingana na mahitaji ya soko. Soko hili ni muhimu kwa sababu linasaidia mabenki kupata fedha za kigeni kwa ajili ya biashara za kimataifa na uwekezaji. Pia, linaipa BoT nafasi ya kuingilia kati ili kulinda uchumi usiyumbe.

Kwa kawaida, BoT huingilia soko hili ili kuongeza upatikanaji wa Dola na kuzuia Shilingi isishuke thamani kwa kasi. Wakati mwingine, wanafanya hivi kama mbinu ya kibiashara – kuuza akiba wakati bei ni ya juu kwa matumaini ya kupata faida thamani itakaposhuka baadaye – kama walivyofanya walipouza dhahabu ya thamani ya Dola bilioni 1.3 mwishoni mwa Januari mwaka huu.

Hata hivyo, mfululizo huu wa uuzaji wa Dola tangu uchaguzi uishe – kipindi kilichogubikwa na ghasia na hali ya wasiwasi – ni jambo la tofauti na taratibu za kawaida. Katika miezi minne tu iliyopita, BoT imeuza jumla ya Dola milioni 228, jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu.

567279822_18025284815762085_6350039184780097132_n.jpg
571027557_18025700339762085_1892215745865528231_n.jpg



Wadau wa uchumi na siasa, nini maoni yenu juu ya hatua hizi za BoT? Je, kuna jambo gani limejificha nyuma ya pazia hili?
 
View attachment 3546022

Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika rekodi za huko nyuma za benki kuu.

Soko la IFEM ndiyo sehemu kuu ambapo biashara ya fedha za kigeni hufanyika nchini. Hapa, benki za biashara na BoT hukutana kupanga thamani ya Shilingi kulingana na mahitaji ya soko. Soko hili ni muhimu kwa sababu linasaidia mabenki kupata fedha za kigeni kwa ajili ya biashara za kimataifa na uwekezaji. Pia, linaipa BoT nafasi ya kuingilia kati ili kulinda uchumi usiyumbe.

Kwa kawaida, BoT huingilia soko hili ili kuongeza upatikanaji wa Dola na kuzuia Shilingi isishuke thamani kwa kasi. Wakati mwingine, wanafanya hivi kama mbinu ya kibiashara – kuuza akiba wakati bei ni ya juu kwa matumaini ya kupata faida thamani itakaposhuka baadaye – kama walivyofanya walipouza dhahabu ya thamani ya Dola bilioni 1.3 mwishoni mwa Januari mwaka huu.

Hata hivyo, mfululizo huu wa uuzaji wa Dola tangu uchaguzi uishe – kipindi kilichogubikwa na ghasia na hali ya wasiwasi – ni jambo la tofauti na taratibu za kawaida. Katika miezi minne tu iliyopita, BoT imeuza jumla ya Dola milioni 228, jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu.

View attachment 3546024View attachment 3546025


Wadau wa uchumi na siasa, nini maoni yenu juu ya hatua hizi za BoT? Je, kuna jambo gani limejificha nyuma ya pazia hili?
MamaSamia2025 nchi ishamshinda.
Sasa yuko mbioni kuwauza kwa mabasha wa kiarabu vijana wafuato:-
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Tlaatlaah

Hawa wanatakiwa haraka Uarabuni mipododo Yao ikapigwe paipu
 
View attachment 3546022

Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika rekodi za huko nyuma za benki kuu.

Soko la IFEM ndiyo sehemu kuu ambapo biashara ya fedha za kigeni hufanyika nchini. Hapa, benki za biashara na BoT hukutana kupanga thamani ya Shilingi kulingana na mahitaji ya soko. Soko hili ni muhimu kwa sababu linasaidia mabenki kupata fedha za kigeni kwa ajili ya biashara za kimataifa na uwekezaji. Pia, linaipa BoT nafasi ya kuingilia kati ili kulinda uchumi usiyumbe.

Kwa kawaida, BoT huingilia soko hili ili kuongeza upatikanaji wa Dola na kuzuia Shilingi isishuke thamani kwa kasi. Wakati mwingine, wanafanya hivi kama mbinu ya kibiashara – kuuza akiba wakati bei ni ya juu kwa matumaini ya kupata faida thamani itakaposhuka baadaye – kama walivyofanya walipouza dhahabu ya thamani ya Dola bilioni 1.3 mwishoni mwa Januari mwaka huu.

Hata hivyo, mfululizo huu wa uuzaji wa Dola tangu uchaguzi uishe – kipindi kilichogubikwa na ghasia na hali ya wasiwasi – ni jambo la tofauti na taratibu za kawaida. Katika miezi minne tu iliyopita, BoT imeuza jumla ya Dola milioni 228, jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu.

View attachment 3546024View attachment 3546025


Wadau wa uchumi na siasa, nini maoni yenu juu ya hatua hizi za BoT? Je, kuna jambo gani limejificha nyuma ya pazia hili?
Dah how my country is fucking poor minada mikubwa iliyobunja records ni ya mauzo ya dollars million 15 na million 20 dah.. wakati pambano mojo tu la ndondi huko usa USA au Europe mshindi anabeba dollars million hadi 200.
 
View attachment 3546022

Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika rekodi za huko nyuma za benki kuu.

Soko la IFEM ndiyo sehemu kuu ambapo biashara ya fedha za kigeni hufanyika nchini. Hapa, benki za biashara na BoT hukutana kupanga thamani ya Shilingi kulingana na mahitaji ya soko. Soko hili ni muhimu kwa sababu linasaidia mabenki kupata fedha za kigeni kwa ajili ya biashara za kimataifa na uwekezaji. Pia, linaipa BoT nafasi ya kuingilia kati ili kulinda uchumi usiyumbe.

Kwa kawaida, BoT huingilia soko hili ili kuongeza upatikanaji wa Dola na kuzuia Shilingi isishuke thamani kwa kasi. Wakati mwingine, wanafanya hivi kama mbinu ya kibiashara – kuuza akiba wakati bei ni ya juu kwa matumaini ya kupata faida thamani itakaposhuka baadaye – kama walivyofanya walipouza dhahabu ya thamani ya Dola bilioni 1.3 mwishoni mwa Januari mwaka huu.

Hata hivyo, mfululizo huu wa uuzaji wa Dola tangu uchaguzi uishe – kipindi kilichogubikwa na ghasia na hali ya wasiwasi – ni jambo la tofauti na taratibu za kawaida. Katika miezi minne tu iliyopita, BoT imeuza jumla ya Dola milioni 228, jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu.

View attachment 3546024View attachment 3546025


Wadau wa uchumi na siasa, nini maoni yenu juu ya hatua hizi za BoT? Je, kuna jambo gani limejificha nyuma ya pazia hili?
Kwanza kabisa kama taifa kwa pamoja,
tunafaa kumpongeza rais Dr.Samia Suluhu Hassan na serikali yake yote sikivu ya CCM kwa hatua muafaka na madhubuti anazochukua kulinda uchumi wa nchi, kukusanya mapato ya kodi vizuri, kudhibiti mianya ya rushwa na matumizi ya serikali ili hatimae miradi ya kimkakati inayofadhiliwa kwa fedha za ndani na iliyo katika hatua mbalimbali za utekelezaji iweze kukamili kwa wakati.

Ni wakati muafa pia,
kuipongeza sana banki kuu ya Tanzania kwa hatua muhimu sana ilizochukua katika harakati za kusisimua uchumi, kuchochea mzunguko wa fedha, akiba ya fedha za kigeni na kuimarisha uchumi wa Taifa ili hatimae tuwe na uwezo wa kuhimili vishindo vya soko huria la ushindani duniani na mabadiliko ya kiuchumi ulimwenguni.

Ni matarajio ya waTanzania kwamba hatua hizo muhimu zinakwenda kuchochea biashara ya fedha za kigeni na na kuimarisha shingi ya Tanzania katika muda na wakati muafaka tunapoelekea kumaliza robo ya kwanza ya mwaka wa fedha. :1Head:
 
Dah how my country is fucking poor minada mikubwa iliyobunja records ni ya mauzo ya dollars million 15 na million 20 dah.. wakati pambano mojo tu la ndondi huko usa USA au Europe mshindi anabeba dollars million hadi 200.
Hizo pesa mafisadi wanazo kwenye account hilo halikushangazi.
 
View attachment 3546022

Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika rekodi za huko nyuma za benki kuu.

Soko la IFEM ndiyo sehemu kuu ambapo biashara ya fedha za kigeni hufanyika nchini. Hapa, benki za biashara na BoT hukutana kupanga thamani ya Shilingi kulingana na mahitaji ya soko. Soko hili ni muhimu kwa sababu linasaidia mabenki kupata fedha za kigeni kwa ajili ya biashara za kimataifa na uwekezaji. Pia, linaipa BoT nafasi ya kuingilia kati ili kulinda uchumi usiyumbe.

Kwa kawaida, BoT huingilia soko hili ili kuongeza upatikanaji wa Dola na kuzuia Shilingi isishuke thamani kwa kasi. Wakati mwingine, wanafanya hivi kama mbinu ya kibiashara – kuuza akiba wakati bei ni ya juu kwa matumaini ya kupata faida thamani itakaposhuka baadaye – kama walivyofanya walipouza dhahabu ya thamani ya Dola bilioni 1.3 mwishoni mwa Januari mwaka huu.

Hata hivyo, mfululizo huu wa uuzaji wa Dola tangu uchaguzi uishe – kipindi kilichogubikwa na ghasia na hali ya wasiwasi – ni jambo la tofauti na taratibu za kawaida. Katika miezi minne tu iliyopita, BoT imeuza jumla ya Dola milioni 228, jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu.

View attachment 3546024View attachment 3546025


Wadau wa uchumi na siasa, nini maoni yenu juu ya hatua hizi za BoT? Je, kuna jambo gani limejificha nyuma ya pazia hili?
Mmh!!! hapo ni vichekesho tu au comedy dollar 15m kwa 20m ni kidogo sana kuleta impact kwenye economy ya GDP 54BN ya dollor.
 
jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu
 
jambo ambalo ni rekodi mpya. Kinachozua maswali zaidi ni minada miwili mikubwa ya Dola milioni 15 na milioni 20 iliyofanyika tarehe 24 na 27 Oktoba, zikiwa ni siku chache tu kabla ya Uchaguzi Mkuu
Tarehe 24 na 27 octoba
 
Back
Top Bottom