BoT yakanusha kuchapisha noti mpya

Weka chanzo cha habari mkuu... Tupo makini kwa habari zinazo husu pesa... Wengine wanapewa keshi huko... Maburungutu sasa kama hakuna upungufu ni jambo jema kama upo usemwe ili matumizi ya keshi yapungue pia
 
Asante mitandao ya kijamii, maana bila tv,redio na magazeti bado serikali inatolewa jasho.

Naiasa serikali kuwa kushindana na teknolojia sawa na kufukuza upepo...

Serikali ikitaka kudhibiti taarifa hizi izuie smartphone kuuzwa Tanzania.
 
Asante mitandao ya kijamii, maana bila tv,redio na magazeti bado serikali inatolewa jasho.

Naiasa serikali kuwa kushindana na teknolojia sawa na kufukuza upepo...

Serikali ikitaka kudhibiti taarifa hizi izuie smartphone kuuzwa Tanzania.
Au mitandao yote izimwe turudi enzi za ujima
 
Mbona wanapiga blah blah tu...ndo maana tulisema kumtoa "mbishi" Prof.Ndulu na kumleta kondoo wa kafara Prof.Luoga ni hatua ya makusudi ya kuuzika uchumi wa nchi
kweli kabisa, this man hata sio mwana uchumi, hakuna banki unia inaongozwa na mtu ambae hajasomea uchumi kaa huyu wa bot, hii ilikuwa plan ya huyu magufuli sasa uchumi umeboromoka kabisa kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…