BOT Vacancies


Hahahaaaaaaaaaa! Umenifurahisha sana, u r deeply wrong humo kwenye red, things are much worse aisee, trust me in this one.
 

Ni kweli tunawahitaji watu km Gov Ndullu watu ambao wako committed kusave interest za nchi, me mwenyewe nimepata habari/ushuhuda kutoka kwa mfanyakazi BoT kuwa saiz mambo yamebadilika kweli hata kwenye issue km za kuajiri, kikubwa ni kumwombea sana kwa Mungu abaki na msimamo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…