BOT kuja na noti mpya ya elfu kumi

BOT kuja na noti mpya ya elfu kumi

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Kwa habari nilizozipata ni kwamba BOT wana mpango wa kuja na noti mpya sh. 10,000.

Inasemekana hamna sababu ya wazi iliyotolewa ila wanataka kuweka 10,000 yenye picha ya Nyerere inayoonekana vizuri ukiachana na hii ya sasa ambayo Nyerere haonekani mpaka uweke hiyo pesa kwenye mwanga.

Wageni wote karibuni Tanzania.
 
Kwa habari nilizozipata ni kwamba BOT wana mpango wa kuja na noti mpya sh. 10,000.

Inasemekana hamna sababu ya wazi iliyotolewa ila wanataka kuweka 10,000
yenye picha ya Nyerere inayoonekana vizuri ukiachana na hii ya sasa ambayo Nyerere haonekani
mpaka uweke hiyo pesa kwenye mwanga.

Wageni wote karibuni Tanzania.

He makubwa haya!, kwani Picha ya Nyerere inahusiana vipi na ubora wa fedha, mpaka tuingie gharama kubwa kuchapisha manoti mapy?. AU WANATAFUTA PESA ZA UCHAGUZI MKUU?
 
He makubwa haya!, kwani Picha ya Nyerere inahusiana vipi na ubora wa fedha, mpaka tuingie gharama kubwa kuchapisha manoti mapy?. AU WANATAFUTA PESA ZA UCHAGUZI MKUU?
Kumbe siku hizi BOT wanafanya uchaguzi mkuu haya kwangu mageni kweli,twambie wanakuwa wanamchagua nani sasa.
 
Kwa habari nilizozipata ni kwamba BOT wana mpango wa kuja na noti mpya sh. 10,000.

Inasemekana hamna sababu ya wazi iliyotolewa ila wanataka kuweka 10,000
yenye picha ya Nyerere inayoonekana vizuri ukiachana na hii ya sasa ambayo Nyerere haonekani
mpaka uweke hiyo pesa kwenye mwanga.

Wageni wote karibuni Tanzania.

Hilo sawa lakini pia waangalie uwezekano wa ama kurudisha shs 500 noti au shape na size tofauti ya hii coin waliyotuletea kwa sasa! inasababisha mkanganyiko sana baina yake na shs 200 hasa kwenye kutoa na kupokea change; watu wanapata hasara na wengine kujinufaisha isivyo halali!!!
 
hii nchi hivi sasa tunaishi watu wa ajabu sana, sio msomi wala asiyesoma, mwenye madaraka wala asiye na madaraka nk.

Si ajabu ukakuta kulikuwa na mabishano kati ya shabiki wa simba na yanga (au chama cha wakulima na wafanyakazi) na ikapelekea kubadilisha rangi za noti!
 
EPA nyingine kwa ajili ya uchaguzi. Kama wananchi hawalalamiki,kuna haja gani ya kubadilisha pesa? Picha ndio thamani ya pesa? Picha najua ni kumbukumbu ya mwasisi wa taifa hili,does it add value of money?
 
(不过方&#27861😉 yani badala waangalie namna ya kuipa thamani pesa yetu wanaingalia upuuzi kisiasa kwenye mambo ya msingi ...
 
Hata tunayotumia sasa inafaa kwann nchi iingie gharama kama hyo tena??
 
Kwa hili naomba kumpinga gavana Ndulu na team yake.

Naomba watanzania tulipinge hili kwa nguvu zetu zote, kwa sababu hatuwezi ndani ya miaka mitano
tukabadilishiwa mara mbili pesa ya aina moja.

Kumbuka, ku print pesa hulipa kiwandani ( kwa printer) gharama ili ile ya dhaman ya pesa uliotaka kutengenizewa.

So kama ni note ya Elfu kumi gharama yake ni hiyo hiyo hadi nusu ya hiyo gharama.

Ndulu Jiuzulu, pisha BoT yetu.
 
Mimi nasubiria East Africa Shilling ianza (ESH) hizi zingine hamna kitu kwa sasa
 
Ni kwa ajili ya kusamabaza noti feki ili wasaka tonge wapate hela kwa gharama za wananchi.
 
Kwa hiyo tutakua na not tatu za 10000 zinazofanya kazi.?
 
He makubwa haya!, kwani Picha ya Nyerere inahusiana vipi na ubora wa fedha, mpaka tuingie gharama kubwa kuchapisha manoti mapy?. AU WANATAFUTA PESA ZA UCHAGUZI MKUU?


Mkuu naamini NOTO MPYA zinachapishwa kila siku, na hziz za sasa ukichukulia rate yake ya kuchakaa ilivyo kubwa na zilivyo hazina thamani, ni lazima wanchapisha kila siku.

Nilitegeema waje na noti ya 50,000/= au 100,000/= ili kuthibitisha UKIAZI wetu!
 
Mkuu BUKU JERO labda kama wataongeza ubora kwasababu hizi za sasa zinachakachuliwa sana juzi nililipwa 850,000/= kimbembe kikaja wakati nafanya manunuzi binafsi kila nikitioa naambiwa hii feki nikaamua kufanya uchunguzi mwenyewe nisije nikashikwa na noti bandia nikakuta kuna 60,000/= feki.


Kwa habari nilizozipata ni kwamba BOT wana mpango wa kuja na noti mpya sh. 10,000.

Inasemekana hamna sababu ya wazi iliyotolewa ila wanataka kuweka 10,000
yenye picha ya Nyerere inayoonekana vizuri ukiachana na hii ya sasa ambayo Nyerere haonekani
mpaka uweke hiyo pesa kwenye mwanga.

Wageni wote karibuni Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom