BoT: Akiba ya fedha za Kigeni yafikia Tsh. Trilioni 19

BoT: Akiba ya fedha za Kigeni yafikia Tsh. Trilioni 19

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,513
Reaction score
2,196
IMG-20250710-WA0075(1).jpg

RAIS SAMIA AVUNJA REKODI YA MIAKA YOTE AKIBA YA FEDHA ZA KIGENI, YAFIKIA DOLA 6.4BN NA DHAHABU TANI6.7, HAIJAPATA KUFIKIWA!

===
Tangu Rais Samia aingia madarakani akiba ya fedha za kigeni imeendelea kuwa ya kuridhisha kukidhi mahitaji ya uagizaji wa bidhaa na huduma nje ya nchi. Hadi kufikia July 2025, kiwango cha akiba ya fedha za kigeni kilifikia $6.4bn sawa na TZS 16.7 Trilioni pamoja na Tani 6.7 za Dhahabu sawa na $719M au TZS 1.9 Trilioni zinaifanya Akiba kufikia TZS19 Trilioni.

Wakati Mwaka 2020 kulikuwa na akiba ya $4.8bn sawa na TZS12Trilioni.
IMG-20250710-WA0073.jpg


Watanzania Oktoba Tunatiki✅
 
Coment
Kwa sasa miradi yote inategemea mikopo/misaada toka nje. Kama hayo ni ya kweli mikopo ya kazi gani wakati akiba hiyo imetokana na uzalishaji wetu wa ndani??
Unafahamu maana ya Reserve cover?
 
View attachment 3404030
RAIS SAMIA AVUNJA REKODI YA MIAKA YOTE AKIBA YA FEDHA ZA KIGENI, YAFIKIA DOLA 6.4BN NA DHAHABU TANI6.7, HAIJAPATA KUFIKIWA!

===
Tangu Rais Samia aingia madarakani akiba ya fedha za kigeni imeendelea kuwa ya kuridhisha kukidhi mahitaji ya uagizaji wa bidhaa na huduma nje ya nchi. Hadi kufikia July 2025, kiwango cha akiba ya fedha za kigeni kilifikia $6.4bn sawa na TZS 16.7 Trilioni pamoja na Tani 6.7 za Dhahabu sawa na $719M au TZS 1.9 Trilioni zinaifanya Akiba kufikia TZS19 Trilioni.

Wakati Mwaka 2020 kulikuwa na akiba ya $4.8bn sawa na TZS12Trilioni.
View attachment 3404032

Watanzania Oktoba Tunatiki✅
Cc: Lucas Mwashambwa
 
View attachment 3404030
RAIS SAMIA AVUNJA REKODI YA MIAKA YOTE AKIBA YA FEDHA ZA KIGENI, YAFIKIA DOLA 6.4BN NA DHAHABU TANI6.7, HAIJAPATA KUFIKIWA!

===
Tangu Rais Samia aingia madarakani akiba ya fedha za kigeni imeendelea kuwa ya kuridhisha kukidhi mahitaji ya uagizaji wa bidhaa na huduma nje ya nchi. Hadi kufikia July 2025, kiwango cha akiba ya fedha za kigeni kilifikia $6.4bn sawa na TZS 16.7 Trilioni pamoja na Tani 6.7 za Dhahabu sawa na $719M au TZS 1.9 Trilioni zinaifanya Akiba kufikia TZS19 Trilioni.

Wakati Mwaka 2020 kulikuwa na akiba ya $4.8bn sawa na TZS12Trilioni.
View attachment 3404032

Watanzania Oktoba Tunatiki✅


Ni wakati wa kikwete tu ndio hakukuwa na Haya maandiko ya haijawahi kutokea

Ila awamu ya magu na mama kila siku ni kwa mara ya kwanza, au haijawahi kutokea hahaha

Mnatuona watanzania vilaza sana
 
Ni wakati wa kikwete tu ndio hakukuwa na Haya maandiko ya haijawahi kutokea

Ila awamu ya magu na mama kila siku ni kwa mara ya kwanza, au haijawahi kutokea hahaha

Mnatuona watanzania vilaza sana
sasa unataka adanganye au
 
Back
Top Bottom