Boss wangu amenitaka kimapenzi

Boss wangu amenitaka kimapenzi

roxna

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
66
Reaction score
64
Habari zenu wana Jf,

A friend of a friend amepatwa na hili nikaona sio mbaya kuja kushare nanyi.

Alikua anaitaji uhamisho wa kikazi ndani ya wilaya kwaio akaandika maombi na akafanya process zote ikawa bado tuu kupitishiwa na boss huyo shida ikaja alipoenda kwa huyo boss wake akamwaga mboga kuwa anataka kidude!Akampa mda aende alafu amtafute ampe jibu kupitia uyo rafiki nikamshauri si vyema kujitoa utu wake kwa ajili ya kushift sehemu tu ts not worth and ni kujishusha sanaa tu.

Sasa kesho ndo miadi imetimia ya yeye kumpa jibu uyo lidubwana cha uroho alichohamua kumjibu ni hivi "nikamheshimu sana boss wangu kama mzazi wangu sitoweza kufanya hivyo maana nitakuwa nimekukosea heshima "

Binafsi nimeona kama jibu bado halikati maini vizuri ya afisa uyoo yani something is missing ivii,ndo mana nimelileta kwenu ili kupata mawazo yenu jinsi gani ya kumpa jibu ambalo halitoathiri uhamisho wake wala kumshusha boss wake na kujisikia vibaya na kuepuka kupelekea kujenga chuki juu yake ilo jibu linatakiwa liweze kushusha uroho wake ajabu ajabu kama fisi.

"Kutojitoa utu wake ili aweze kusaidiwa" it's my thought,whats yours?

Karibuni experties wa maneno yenye tiba
 
roxna

Ampe tu, kwani kuna ubaya gani.
 
Last edited by a moderator:
Heshima ya mtu hainunuliwi bhana cjui kwnn mabosi wengine wanakuwa malaya kias icho! Si ajabu bint ni sawa na mwanae yan ndo maana wanakufa na ukimwi hao watu
 
Ampe tu, kwani kuna ubaya gani.

Anajiona ana heshiiimaa wakati huruma hana
hebu amuhurumie mzee wa watu


nin cha ajabu hapo...mpaka amesoma akamalza amegongwa na wangapi tena bure kabsa,kumpatia huyo kwa nusu saa tu kuna shida gani


Ampe maramoja tu.... Kwani si ni issue ya dakika kashaa tu.... Tena bao la kwanza halichukui hata dakika 8

Orait orait.......I see.....
 
Kama anashindwa ripoti katika mamlaka husika....
Basi amwambie...
anangoma...
Huenda ikasaidiaa!!
 
Heshima ya mtu hainunuliwi bhana cjui kwnn mabosi wengine wanakuwa malaya kias icho! Si ajabu bint ni sawa na mwanae yan ndo maana wanakufa na ukimwi hao watu

kabisa yani binti mwenyewe mdogooo...yani mwembamba afu kafupi yani utu hamna kabisa siku izi
 
Kabla ya kwenda kuonana nae mwambie aandae ushahidi utakaoweza kuja kumsaidia kama lolote litakuja kutokea..Mwambie achat nae kwa simu au aongee nae zen amrekodi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom