bosi mmoja alikua na ofisi yake na siku moja alipo kua anaingia ofisini akamkuta messanger anakiss( kula denda) na secretary wake.. basi bosi kwa hasira na sauti kubwaa akamwuliza messanger.." yani ninakulipa ufanye kazi hiyo hapa ofisini..?" messanger kwa mshtudo mkubwa akajibu "hapana bosi hii hua nafanya bureee bila ya malipo yoyote bosi....!"