Kunamchz mmoja alienda town alpoenda town alkuta wahind wengi sana ikabdi aulize michano ilkua iv "iv india siombali sana,jamaa mmoja akajbu itakuwa siombali kwasabab boss wetu anakujaga kwa baskel!!
Haaaaa wahindi ni nomaaaaa ukifanya kazi kwao na wewe inabidi uwe kama chizi hv nguo moja kwa siku sita tena zile lonyalonya sagulasagula ukivaa suruali ya kitambaa na sharti la mikono mirefu na mchongoko kesho yake utasikia jumaaa ibia mimi so kesho hapana kuja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.