real life 1997
Member
- Feb 17, 2022
- 9
- 22
Nahisi kuna watu tulizaliwa tu bila dhumuni,,tupo tu ili siku ziende
Hii ni huzuni.
Hii ni huzuni.
Soma hiiNahisi kuna watu tulizaliwa tu bila dhumuni,,tupo tu ili siku ziende
Hii ni huzuni.
Ukiwa na pesa utaona dhumuni la maisha yako. Najua inauma.Nahisi kuna watu tulizaliwa tu bila dhumuni,,tupo tu ili siku ziende
Hii ni huzuni.
Sio wewe tu mkuu....Nahisi kuna watu tulizaliwa tu bila dhumuni,,tupo tu ili siku ziende
Hii ni huzuni.
Umasikini ni kitu mbaya sana mkuu...Ukosefu wa pesa ni kitu kibaya sana
Hapana,boss nimejiajili,,ila maisha yangu yanachanga moto nyingi saana ,mawazo ya kujaribu upande wa pili yananijia sana ila nikiangalia watu walio nyuma yangu...hapana.. I must liveOk are you jobless?
Soma hii
![]()
Je, unaziona ndoto zako rohoni?
Utimilifu wa ndoto katika maisha ya mafanikio huanzia rohoni na si mafanikio tuu bali kila jambo katika maisha bila kujali uzuri ama ubaya wake! Kwakuwa roho ndio asili na ndio chanzo cha kila kitu katika ulimwengu wa mwili? Je unaziishi ndoto zako? Ama bado hazijatimia? Je unaziona ndoto zako...www.jamiiforums.com



Lizika tu na hali yako bro kuna watu wanashona viatu tu stend na hawana siteresi kikubwa mkono uende kinywaniHapana,boss nimejiajili,,ila maisha yangu yanachanga moto nyingi saana ,mawazo ya kujaribu upande wa pili yananijia sana ila nikiangalia watu walio nyuma yangu...hapana.. I must live
Kafikia mwisho, msaidie kujitafutaMkuu jitafute utajipata tu
Usithubutu kujiua, ni udhaifu sana kufikiria kujitoa uhai life lazima lisongeHapana,boss nimejiajili,,ila maisha yangu yanachanga moto nyingi saana ,mawazo ya kujaribu upande wa pili yananijia sana ila nikiangalia watu walio nyuma yangu...hapana.. I must live
Ushauri mzuriUsikate tamaa mkuu...maisha ni mapambano.
Muhimu kumtumikia Mungu.
